Yanga: A case Study

Yanga: A case Study

Nakubaliana na wewe kwamba kanuni zinapaswa kifatwa, lakini hupaswi kuwa rigid kwenye vifungu kwa sababu kuna dharura, hasara iliyosababishwa na maamuzi ya viongozi wa Yanga ni kubwa mno. Narudia tena soka letu linaharibiwa kwa vilabu vyetu kuendeshwa na watu waliokosa weledi.
Hebu eleza sababu zilizofanya mchezo uhairishwe,
Tuanzie hapa
 
Maamuzi waliyochukua Yanga yatakuja kuwagharimu siku za usoni ya kuwataka TFF kufuata kanuni kwa asilimia mia moja. Ipo siku Yanga watakuwa na dharura ya kweli kwa mfano kupata puncture au flat tire wakati wanakwenda uwanjani na hivyo kuwapigia simu TFF kusogeza mchezo mbele kutokana na dharura hiyo, hapo ndipo Yanga watajua what goes around comes around.

Maamuzi haya yatakuwa kama boomerang na kuwapiga wao wenyewe pale TFF itakapo wajibu kwamba kanuni hairuhusu na wanahitaji masaa 24 kufanya hivyo.

Delay na postponement ni vitu viwili tofauti. Si amini kuwa delay ya game inahitaji notice ya masaa 24 ila postponement ndiyo inahitaji. Je? Mchezaji wa Yanga akipata ajali na kufariki siku ya mechi, Yanga watawajibika kucheza mechi siku hiyo? Si wataomba mchezo uahirishwe!

Hapo masaa 24 watayatoa wapi? Na hiyo timu pinzani ikifanya kama walivyofanywa Yanga, si tutakuwa tunaliua soka letu! Na kwa mantiko hiyo basi; Yanga hawakutaka TFF itii agizo la serikali ili mchezo uendelee katika muda awali?

Masikini washabiki na wapenda soka wa nchi hii waliojazana uwanjani kwa maelfu, gharama zao na muda wao nani atawalipa?
Upo uwezekano wa CAF na FIFA kuingilia kati suala hili, nani atajibu hoja zao? Na kama kutakuwa na penalties, nani atalipa?
Jamani tuwe tunachukua maamuzi ya busara kwa faida ya maendeleo ya soka letu na nchi yetu kwa ujumla.

Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, hili litakuwa ni " tukio rejea" la matukio kama haya yakayofuata siku za usoni. Hivyo, maamuzi yoyote yatakayotolewa yazingatie haki, sheria na kanuni ili tusije ku-set a bad precedent kwa timu nyingine kufanya hivyo baadae ikizingatiwa kuwa timu zote zina haki sawa.
Mleta mada mpaka muda huu TFF wametoa sababu kwa Nini mechi ilisogezwa muda ?maana hata Jana waziri mkuu aliliongelea Hilo swala bungeni lakini sijasikia sababu yoyote .Unaposema kufa na ajali hivyo Ni vitu 2 tofauti kabisa Tff wanamakosa Sana na ndio maana hawaeezi kuibana yanga kulipa faini .Hata wewe sidhani km unajua sababu acheni ushabiki madazi ili soka la Tanzania liweze kujua.
 
Ni kweli what goes around comes around.Kuna siku yanga watapata dharura mfano ya kufiwa,au chochote kile,sasa kama kanuni inasema kusogeza mbele muda ni kuahirisha,timu pinzani ipewe haki yake.

Nawashangaa wachambuzi taka taka wanavyoi support yanga kwa ujinga waliofanya
wangewajali hata mashabiki wao waliojaa pale uwanjani
 
wangewajali hata mashabiki wao waliojaa pale uwanjani
Kwani hukuona mashabiki wa yanga tulitoka pamoja Basi la wachezaji Ina maana hatukufurahia huo ujinga wa tff na Simba maana mpaka leo hatujajua sababu ilikuwa Ni Nini ? Ingalau tungejua sababu tungeanzia hapo kujadili .
 
Tatizo mwanamke kumuelewesha issue za soka ni ngumu kukwelewa.

Sababu ya TFF mbona ilikuwa wazi?

TFF alielekezwa na serikali.Sasa tunayepaswa kumuuliza ni serikali alikuwa na sababu gani?Kama vile haitoshi,waziri mwenye dhamana ya michezo,ni utopolo halisi.Sasa atuambie alikuwa na sababu gani ambazo walikubaliana na timu yake ili baadae timu yake ikimbie kucheza mechi?
Mleta mada mpaka muda huu TFF wametoa sababu kwa Nini mechi ilisogezwa muda ?maana hata Jana waziri mkuu aliliongelea Hilo swala bungeni lakini sijasikia sababu yoyote .Unaposema kufa na ajali hivyo Ni vitu 2 tofauti kabisa Tff wanamakosa Sana na ndio maana hawaeezi kuibana yanga kulipa faini .Hata wewe sidhani km unajua sababu acheni ushabiki madazi ili soka la Tanzania liweze kujua.
 
Tatizo mwanamke kumuelewesha issue za soka ni ngumu kukwelewa.

Sababu ya TFF mbona ilikuwa wazi?

TFF alielekezwa na serikali.Sasa tunayepaswa kumuuliza ni serikali alikuwa na sababu gani?Kama vile haitoshi,waziri mwenye dhamana ya michezo,ni utopolo halisi.Sasa atuambie alikuwa na sababu gani ambazo walikubaliana na timu yake ili baadae timu yake ikimbie kucheza mechi?
Kuna upumbafu wa Hali ya juu sana

Huwa hakuna tamko lisiloandikiwa barua

Tff barua Yao ingeambatana na barua ya wizara wala Yanga asingekataa


Hii ni inshu ya Simba Tu ili iahilishwe wajifiche wasionwe na timu zilizoingia robo fainali

Kichwa mandazi
 
Kila kitu kimeanishwa kwenye katiba zao hizo, ishu za kufiwa na dharula za namna hiyo lazima zimekwisha ainishwa.

Mtoa post ungekuja na vifungu kadhaa ungeeleweka sasa wewe umeleta mada ili uonewe huruma. Yanga wamefata sheria we unaleta assumption zako eti wamefiwa sijui wamepata pancha, umewaza upuuzi sana mkuu.
 
Nakubaliana na wewe kwamba kanuni zinapaswa kifatwa, lakini hupaswi kuwa rigid kwenye vifungu kwa sababu kuna dharura, hasara iliyosababishwa na maamuzi ya viongozi wa Yanga ni kubwa mno. Narudia tena soka letu linaharibiwa kwa vilabu vyetu kuendeshwa na watu waliokosa weledi.
boss tukikubali kupindishapindisha kanuni tulizojiwekea wenyewe kirahisirahisi hivyo hatutafika mbali. kulikuwa na shida gani kwa TFF na Bodi ya ligi kuziita timu husika mezani na kujadiliana kuhusu kusogeza mechi mbele!?! naamini wangekubaliana na kama yanga angelazimisha kanuni zifuatwe basi mchezo ungeahirishwa kabisa. lakini hii ya kutoleana amri kama unaswaga ng'ombe kwenda machungani sio jambo la kukubaliana nalo hata kidogo. ukiwaacha wazoee hivyo hawa viongozi wetu loooh,siku moja tutamsubiri rais wa tff atoke gaborone ndio mechi ichezwe!!! acha wapate fundisho naamini hawatarudia tena hilo kosa
 
Maamuzi waliyochukua Yanga yatakuja kuwagharimu siku za usoni ya kuwataka TFF kufuata kanuni kwa asilimia mia moja. Ipo siku Yanga watakuwa na dharura ya kweli kwa mfano kupata puncture au flat tire wakati wanakwenda uwanjani na hivyo kuwapigia simu TFF kusogeza mchezo mbele kutokana na dharura hiyo, hapo ndipo Yanga watajua what goes around comes around.

Maamuzi haya yatakuwa kama boomerang na kuwapiga wao wenyewe pale TFF itakapo wajibu kwamba kanuni hairuhusu na wanahitaji masaa 24 kufanya hivyo.

Delay na postponement ni vitu viwili tofauti. Si amini kuwa delay ya game inahitaji notice ya masaa 24 ila postponement ndiyo inahitaji. Je? Mchezaji wa Yanga akipata ajali na kufariki siku ya mechi, Yanga watawajibika kucheza mechi siku hiyo? Si wataomba mchezo uahirishwe!

Hapo masaa 24 watayatoa wapi? Na hiyo timu pinzani ikifanya kama walivyofanywa Yanga, si tutakuwa tunaliua soka letu! Na kwa mantiko hiyo basi; Yanga hawakutaka TFF itii agizo la serikali ili mchezo uendelee katika muda awali?

Masikini washabiki na wapenda soka wa nchi hii waliojazana uwanjani kwa maelfu, gharama zao na muda wao nani atawalipa?
Upo uwezekano wa CAF na FIFA kuingilia kati suala hili, nani atajibu hoja zao? Na kama kutakuwa na penalties, nani atalipa?
Jamani tuwe tunachukua maamuzi ya busara kwa faida ya maendeleo ya soka letu na nchi yetu kwa ujumla.

Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, hili litakuwa ni " tukio rejea" la matukio kama haya yakayofuata siku za usoni. Hivyo, maamuzi yoyote yatakayotolewa yazingatie haki, sheria na kanuni ili tusije ku-set a bad precedent kwa timu nyingine kufanya hivyo baadae ikizingatiwa kuwa timu zote zina haki sawa.
Wakati wa kusimamisha Mwakalibela, TFF walisema wanafanya maamuzi kuendana na Kanuni, hivyo ipongeze Yanga kwa kuirudisha TFF kwenye utaratibu wa kufuata kanuni

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kula limao upunguze kutema mate
Kuna upumbafu wa Hali ya juu sana

Huwa hakuna tamko lisiloandikiwa barua

Tff barua Yao ingeambatana na barua ya wizara wala Yanga asingekataa


Hii ni inshu ya Simba Tu ili iahilishwe wajifiche wasionwe na timu zilizoingia robo fainali

Kichwa mandazi
 
Back
Top Bottom