Yanga A yatoa droo na JKU 0-0

Yanga A yatoa droo na JKU 0-0

Li timu lao mwaka huu ni bovu Kwelikweli ingawa hawataki kuamini hivyo.

Mwaka huu tutegemee lawama na Malalamiko mengi kwa waamzi , Karia na TFF yake.
Uliona wapi hiyo timu ikicheza zaidi ya mechi dhidi ya Kaizer chief? Huo ubovu umeuona kwenye angle ipi? Je ni mech ipi ya kimashindano umeona ikicheza? Acha mihemko subiri mashindano yaanze
 
Naenjoy kuona mnaparuana simba na yanga
Nafurahi zaidi nikiona Utopwax wanafarakana
 
Keshokutwa mnafanya tamasha lenu. Hivyo ni wakati sasa wa kuiacha Yanga ili ipumue. Maana nyuzi zenu za kuisakama zimezidi sasa humu jukwaani.
Hivi huu ni uzi wa kuisakama Yanga au kutoa matokeo ya mechi ya kirafiki aliyocheza Yanga dhidi ya JKU ya Zanzibar?
 
Uzuri ni kwamba misimu yote ambayo Yanga anabeba makombe huwa wapinzani wake wanamuona ni timu mbovu katika preseason. Mashindano yakianza nyimbo za GSM kutuharibia ligi yetu kwa kununua timu pinzani na marefa zinakuwa nyingi.
 
Huu ndio wakati pekee Makolo huwa na furaha! Ligi ikianza " Mudi tuachie timu yetu"
 
Klabu ya Young Africans Timu A 🔰 jioni ya Leo imecheza mchezo wa kirafiki dhdi ya JKU na mchezo huo kumalizika kwa suluhu ya 0-0.

Matokeo yamefichwa
Lakini na wewe u.etuficha taarifa, Yanga kacheza mechi mbili za kirafiki siku moja asubuhi na jioni.
Asubuhi Yanga kashinda 6.
Jioni suluhu.
Mbona ulalamiki kwani wamewezaje kucheza mechi mbili siku moja?
 
Klabu ya Young Africans Timu A 🔰 jioni ya Leo imecheza mchezo wa kirafiki dhdi ya JKU na mchezo huo kumalizika kwa suluhu ya 0-0.

Matokeo yamefichwa
unafuatilia mpira hafu hujui maana ya pre- season ? inatia kinyaaaa. aibu naona miye
 
Back
Top Bottom