Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana?
Hivi sasa nasikia Yanga hawataki Feisal aondoke. Yani akae aendelee kulipwa pesa ya mboga wakati kapata mkataba wenye maslahi mazuri? Yani hivi leo huyo mchezaji akifariki hiyo timu itakufa pia?
Badilikeni. Mchezaji kapata mahali pengine nilitarajia mumjenge kiasikolojia hata game ya kesho acheze kwenu tena mseme mnaitumia kumuaga.
Ingieni sokoni mbona bara la Afrika lina vipaji vingi sana?
Wachezaji nowadays wameanza kuelewa kuwa soka ni ajira sio yale maupuuzi walioyofanya kina Boban, Ngasa, nk. Alafu mtu akistafu akiugua hata pesa ya matibabu hana, anaanza kuomba msaada.
Yanga acheni ushamba, mwacheni Feisal aende. Uonesheni professionalism katika sakata hili.
Naongea kama shabiki wa Yanga ninayependa mafanikio ya Yanga na mafanikio binafsi ya wachezaji.
Fei Toto katufanyia mengi, katumia haki yake. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kumvuruga. Anaweza kwenda na akarudi tu ikiwa atatoka kwa mawasiliano mazuri
Na mimi nakushauri Feisal, wakikulazimisha baki alafu ukiingia uwanjani cheza chini ya kiwango. Au cheza rafu za wazi uwe unapigwa red card tu kila mara. Watakuacha wenyewe.
Tubadilike
Hivi sasa nasikia Yanga hawataki Feisal aondoke. Yani akae aendelee kulipwa pesa ya mboga wakati kapata mkataba wenye maslahi mazuri? Yani hivi leo huyo mchezaji akifariki hiyo timu itakufa pia?
Badilikeni. Mchezaji kapata mahali pengine nilitarajia mumjenge kiasikolojia hata game ya kesho acheze kwenu tena mseme mnaitumia kumuaga.
Ingieni sokoni mbona bara la Afrika lina vipaji vingi sana?
Wachezaji nowadays wameanza kuelewa kuwa soka ni ajira sio yale maupuuzi walioyofanya kina Boban, Ngasa, nk. Alafu mtu akistafu akiugua hata pesa ya matibabu hana, anaanza kuomba msaada.
Yanga acheni ushamba, mwacheni Feisal aende. Uonesheni professionalism katika sakata hili.
Naongea kama shabiki wa Yanga ninayependa mafanikio ya Yanga na mafanikio binafsi ya wachezaji.
Fei Toto katufanyia mengi, katumia haki yake. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kumvuruga. Anaweza kwenda na akarudi tu ikiwa atatoka kwa mawasiliano mazuri
Na mimi nakushauri Feisal, wakikulazimisha baki alafu ukiingia uwanjani cheza chini ya kiwango. Au cheza rafu za wazi uwe unapigwa red card tu kila mara. Watakuacha wenyewe.
Tubadilike