Yanga acheni kuhangaika na Feisal, ni ushamba

Yanga acheni kuhangaika na Feisal, ni ushamba

JFMemba

Senior Member
Joined
Jun 28, 2021
Posts
134
Reaction score
247
Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana?

Hivi sasa nasikia Yanga hawataki Feisal aondoke. Yani akae aendelee kulipwa pesa ya mboga wakati kapata mkataba wenye maslahi mazuri? Yani hivi leo huyo mchezaji akifariki hiyo timu itakufa pia?

Badilikeni. Mchezaji kapata mahali pengine nilitarajia mumjenge kiasikolojia hata game ya kesho acheze kwenu tena mseme mnaitumia kumuaga.

Ingieni sokoni mbona bara la Afrika lina vipaji vingi sana?

Wachezaji nowadays wameanza kuelewa kuwa soka ni ajira sio yale maupuuzi walioyofanya kina Boban, Ngasa, nk. Alafu mtu akistafu akiugua hata pesa ya matibabu hana, anaanza kuomba msaada.

Yanga acheni ushamba, mwacheni Feisal aende. Uonesheni professionalism katika sakata hili.

Naongea kama shabiki wa Yanga ninayependa mafanikio ya Yanga na mafanikio binafsi ya wachezaji.

Fei Toto katufanyia mengi, katumia haki yake. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kumvuruga. Anaweza kwenda na akarudi tu ikiwa atatoka kwa mawasiliano mazuri

Na mimi nakushauri Feisal, wakikulazimisha baki alafu ukiingia uwanjani cheza chini ya kiwango. Au cheza rafu za wazi uwe unapigwa red card tu kila mara. Watakuacha wenyewe.


Tubadilike
 
[emoji116]
20221224_130313.jpg
 
Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana?

Hivi sasa nasikia Yanga hawataki Feisal aondoke. Yani akae aendelee kulipwa pesa ya mboga wakati kapata mkataba wenye maslahi mazuri? Yani hivi leo huyo mchezaji akifariki hiyo timu itakufa pia?

Badilikeni. Mchezaji kapata mahali pengine nilitarajia mumjenge kiasikolojia hata game ya kesho acheze kwenu tena mseme mnaitumia kumuaga.

Ingieni sokoni mbona bara la Afrika lina vipaji vingi sana?

Wachezaji nowadays wameanza kuelewa kuwa soka ni ajira sio yale maupuuzi walioyofanya kina Boban, Ngasa, nk. Alafu mtu akistafu akiugua hata pesa ya matibabu hana, anaanza kuomba msaada.

Yanga acheni ushamba, mwacheni Feisal aende. Uonesheni professionalism katika sakata hili.

Naongea kama shabiki wa Yanga ninayependa mafanikio ya Yanga na mafanikio binafsi ya wachezaji.

Fei Toto katufanyia mengi, katumia haki yake. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kumvuruga. Anaweza kwenda na akarudi tu ikiwa atatoka kwa mawasiliano mazuri

Na mimi nakushauri Feisal, wakikulazimisha baki alafu ukiingia uwanjani cheza chini ya kiwango. Au cheza rafu za wazi uwe unapigwa red card tu kila mara. Watakuacha wenyewe.


Tubadilike
Sasa kama mtoa Post mwnyw (kolo wizard)..... una copy & paste habari za wachambuzi wa michongo..,.una tofauti nao Gani


Surprisingly.....
. feitoto mwenyewe anashangaa hizi habari [emoji16][emoji16]
 
Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana?

Hivi sasa nasikia Yanga hawataki Feisal aondoke. Yani akae aendelee kulipwa pesa ya mboga wakati kapata mkataba wenye maslahi mazuri? Yani hivi leo huyo mchezaji akifariki hiyo timu itakufa pia?

Badilikeni. Mchezaji kapata mahali pengine nilitarajia mumjenge kiasikolojia hata game ya kesho acheze kwenu tena mseme mnaitumia kumuaga.

Ingieni sokoni mbona bara la Afrika lina vipaji vingi sana?

Wachezaji nowadays wameanza kuelewa kuwa soka ni ajira sio yale maupuuzi walioyofanya kina Boban, Ngasa, nk. Alafu mtu akistafu akiugua hata pesa ya matibabu hana, anaanza kuomba msaada.

Yanga acheni ushamba, mwacheni Feisal aende. Uonesheni professionalism katika sakata hili.

Naongea kama shabiki wa Yanga ninayependa mafanikio ya Yanga na mafanikio binafsi ya wachezaji.

Fei Toto katufanyia mengi, katumia haki yake. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kumvuruga. Anaweza kwenda na akarudi tu ikiwa atatoka kwa mawasiliano mazuri

Na mimi nakushauri Feisal, wakikulazimisha baki alafu ukiingia uwanjani cheza chini ya kiwango. Au cheza rafu za wazi uwe unapigwa red card tu kila mara. Watakuacha wenyewe.


Tubadilike
Yanga anaangaikaje na Feisal?
 
Sema tu viongozi wetu waboreshe mkataba wa huyu dogo.
Kiukweli mchango wake kwenye timu ni mkubwa kuliko morrison.

Hivyo hakina sababu ya kumlipa mchezaji mzawa milioni 4, na mgeni milioni 23! Kwa sababu tu ya mkataba. Mikataba ya wachezaji inaboreshwa kutokana na kiwango cha mchezaji husika.

Hivyo nawashauri viongozi wa Yanga wafanye hivyo hivyo kwa wachezaji wao waandamizi, akiwemo Fei toto (iwapo ataendelea kuwepo)
 
Yanga haiwezi kumzuia fei akimua kuondoka, na kwa sababu ana mkataba mpaka 24, azam wenyewe waende tu wakaongee na yanga wakubaliane, mchezaji kaisha onyesha nia ya kuondoka,

Nb😛icha ya yanga wakiangaika na fei tafadhali
 
Mbona wanaohangaika ni wanazi wa simba, leta post ya yanga ikihangaika nae.
Namm nashangaa haya mambo, watanzania tuwe na tabia ya kuwa na subira kwenye mambo mbalimbali , kuhusu hili sakata mpaka sasa hakuna taarifa rasmi, yanga wako kimya , azam wako kimya na Feisal pia yuko kimya, tunaoleta updates kila wakat ni sisi wapiga mdomo wa vijiweni , nilimuuliza mleta mada hapo juu kwamba "yanga inahangaika na Feisal kivipi? " hajanijibu mpaka sasa
 
Kama Feisal amefuata mkataba kwa kununua sehemu iliyobaki basi Yanga waombe huruma tu ya Feisal, lakini sababu walizotoa za kutaka mkataba uheshimiwe hazina mashiko, kwani Feisal kuvunja mkataba kwa kununua sehemu iliyobaki hajakosea popote, wao Yanga SC ndio wanatakiwa kuheshimu mkataba.

Hili suala linaonesha vile vilabu vikubwa huweka vipengele kwenye mikataba ya wachezaji wao hasa wa ndani kwa mazoea, wakidhani hawawezi kuondoka kwa sababu ya mapenzi, wabadilike iko siku watalia.
 
Sidhani kama ni sahihi kusema Yanga wanahangaika na Fesal. Yaani mchezaji wako usikie chochote kumhusu unyamaze tu? Uongozi wa Aina gani huo wa ovyo kiasi hicho? Timu ni kama familia, Baba akisikia habari za mwanae ziwe za kweli au za uongo atafutilia Kwanza, akijiridhisha maisha yanakwenda. Geita waliposikia Striker wao Mpole anasingizia ugonjwa lakini haumwi wakamwita alipogoma wakasema hutacheza kokote mpaka mkataba uishe na ulipoisha wakamtakia maisha mema.
 
Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana?

Hivi sasa nasikia Yanga hawataki Feisal aondoke. Yani akae aendelee kulipwa pesa ya mboga wakati kapata mkataba wenye maslahi mazuri? Yani hivi leo huyo mchezaji akifariki hiyo timu itakufa pia?

Badilikeni. Mchezaji kapata mahali pengine nilitarajia mumjenge kiasikolojia hata game ya kesho acheze kwenu tena mseme mnaitumia kumuaga.

Ingieni sokoni mbona bara la Afrika lina vipaji vingi sana?

Wachezaji nowadays wameanza kuelewa kuwa soka ni ajira sio yale maupuuzi walioyofanya kina Boban, Ngasa, nk. Alafu mtu akistafu akiugua hata pesa ya matibabu hana, anaanza kuomba msaada.

Yanga acheni ushamba, mwacheni Feisal aende. Uonesheni professionalism katika sakata hili.

Naongea kama shabiki wa Yanga ninayependa mafanikio ya Yanga na mafanikio binafsi ya wachezaji.

Fei Toto katufanyia mengi, katumia haki yake. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kumvuruga. Anaweza kwenda na akarudi tu ikiwa atatoka kwa mawasiliano mazuri

Na mimi nakushauri Feisal, wakikulazimisha baki alafu ukiingia uwanjani cheza chini ya kiwango. Au cheza rafu za wazi uwe unapigwa red card tu kila mara. Watakuacha wenyewe.


Tubadilike
IMG-20221224-WA0172.jpg
 
Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana?

Hivi sasa nasikia Yanga hawataki Feisal aondoke. Yani akae aendelee kulipwa pesa ya mboga wakati kapata mkataba wenye maslahi mazuri? Yani hivi leo huyo mchezaji akifariki hiyo timu itakufa pia?

Badilikeni. Mchezaji kapata mahali pengine nilitarajia mumjenge kiasikolojia hata game ya kesho acheze kwenu tena mseme mnaitumia kumuaga.

Ingieni sokoni mbona bara la Afrika lina vipaji vingi sana?

Wachezaji nowadays wameanza kuelewa kuwa soka ni ajira sio yale maupuuzi walioyofanya kina Boban, Ngasa, nk. Alafu mtu akistafu akiugua hata pesa ya matibabu hana, anaanza kuomba msaada.

Yanga acheni ushamba, mwacheni Feisal aende. Uonesheni professionalism katika sakata hili.

Naongea kama shabiki wa Yanga ninayependa mafanikio ya Yanga na mafanikio binafsi ya wachezaji.

Fei Toto katufanyia mengi, katumia haki yake. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kumvuruga. Anaweza kwenda na akarudi tu ikiwa atatoka kwa mawasiliano mazuri

Na mimi nakushauri Feisal, wakikulazimisha baki alafu ukiingia uwanjani cheza chini ya kiwango. Au cheza rafu za wazi uwe unapigwa red card tu kila mara. Watakuacha wenyewe.


Tubadilike
Yanga wapumbavu feitoto alipwe Milioni 4 na Aziz Ki alipwe Milioni 23 huo ujinga sana, hongera Kwa feitoto kwa hayo maamuzi yake.
 
Kama Feisal amefuata mkataba kwa kununua sehemu iliyobaki basi Yanga waombe huruma tu ya Feisal, lakini sababu walizotoa za kutaka mkataba uheshimiwe hazina mashiko, kwani Feisal kuvunja mkataba kwa kununua sehemu iliyobaki hajakosea popote, wao Yanga SC ndio wanatakiwa kuheshimu mkataba.

Hili suala linaonesha vile vilabu vikubwa huweka vipengele kwenye mikataba ya wachezaji wao hasa wa ndani kwa mazoea, wakidhani hawawezi kuondoka kwa sababu ya mapenzi, wabadilike iko siku watalia.
Release clause ni Dola laki 2 , mwanasheria wa klabu amesema.

Au unataka wamuachie tu aende kikawaida yaani abebe mabegi asepe?
 
Back
Top Bottom