Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hio release clause Ina reflection gani kwenye maisha yake hapo Yanga na kipato Cha mkataba?Release clause ni Dola laki 2 , mwanasheria wa klabu amesema.
Au unataka wamuachie tu aende kikawaida yaani abebe mabegi asepe?
Hiyo 4 fei alisaini na kukubali au alilazimishwa?Yanga wapumbavu feitoto alipwe Milioni 4 na Aziz Ki alipwe Milioni 23 huo ujinga sana, hongera Kwa feitoto kwa hayo maamuzi yake.
Mkuu, ni haki ipi hasa unayoipigania hapa? Unaelewa nini kuhusu mkataba? Tuache kuandika mada za kusherehesha majukwaa tuje na logical reasoningSakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana?
Hivi sasa nasikia Yanga hawataki Feisal aondoke. Yani akae aendelee kulipwa pesa ya mboga wakati kapata mkataba wenye maslahi mazuri? Yani hivi leo huyo mchezaji akifariki hiyo timu itakufa pia?
Badilikeni. Mchezaji kapata mahali pengine nilitarajia mumjenge kiasikolojia hata game ya kesho acheze kwenu tena mseme mnaitumia kumuaga.
Ingieni sokoni mbona bara la Afrika lina vipaji vingi sana?
Wachezaji nowadays wameanza kuelewa kuwa soka ni ajira sio yale maupuuzi walioyofanya kina Boban, Ngasa, nk. Alafu mtu akistafu akiugua hata pesa ya matibabu hana, anaanza kuomba msaada.
Yanga acheni ushamba, mwacheni Feisal aende. Uonesheni professionalism katika sakata hili.
Naongea kama shabiki wa Yanga ninayependa mafanikio ya Yanga na mafanikio binafsi ya wachezaji.
Fei Toto katufanyia mengi, katumia haki yake. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kumvuruga. Anaweza kwenda na akarudi tu ikiwa atatoka kwa mawasiliano mazuri
Na mimi nakushauri Feisal, wakikulazimisha baki alafu ukiingia uwanjani cheza chini ya kiwango. Au cheza rafu za wazi uwe unapigwa red card tu kila mara. Watakuacha wenyewe.
Tubadilike
Yanga waangalie maisha ya Fei au waangalie maslahi ya klabu???Hio release clause Ina reflection gani kwenye maisha yake hapo Yanga na kipato Cha mkataba?
Yanga ni wapumbavu na ndiomana wanaitwa Utopolo, mnalipaje Fei million 5 huo uchawi acheni ujingaHuna akili wewe!!..
Upumbavu wa nani hapo?
Yanga ni wapumbavu na ndiomana wanaitwa Utopolo, mnalipaje Fei million 5 huo uchawi acheni ujinga
Hii kwenye draft tunaita "nyani katema bungo"[emoji116]View attachment 2456572
Tatizo la Vilabu vyetu ni UswahiliKama Feisal amefuata mkataba kwa kununua sehemu iliyobaki basi Yanga waombe huruma tu ya Feisal, lakini sababu walizotoa za kutaka mkataba uheshimiwe hazina mashiko, kwani Feisal kuvunja mkataba kwa kununua sehemu iliyobaki hajakosea popote, wao Yanga SC ndio wanatakiwa kuheshimu mkataba.
Hili suala linaonesha vile vilabu vikubwa huweka vipengele kwenye mikataba ya wachezaji wao hasa wa ndani kwa mazoea, wakidhani hawawezi kuondoka kwa sababu ya mapenzi, wabadilike iko siku watalia.
Hii mijitu mishamba sana[emoji116]View attachment 2456572
Hakuna anayehangaika na Feisal......Mke akianza kukukataa haina haja ya kumlazimisha,ila kama anatikisa unamuacha tu ahangaike mwenyewe