Yanga acheni kutengeneza propaganda na kutafuta visingizio

Yanga acheni kutengeneza propaganda na kutafuta visingizio

Waliosoma Cuba ndiyo wanaelewa huu mchezo unaofanyika na naona Deportivo la Utopolo wanaingia kichwa kichwa. Hapa wanapigiwa simu wachezaji muhimu si kwa nia ya kuwarubuni ila wanajenga mazingira fulani ili wakifungwa, kutokee mvurugano kule Utopoloni.

Bahati mbaya hata Yanga ikidondosha points, Simba hii siyo ya kuiwekea dhamana.
 
Nimeona mitandaoni baadhi ya mashabiki wa yanga sc wakiongozwa na haji manara na wachambuzi uchwara wakieneza propaganda kuwa viongozi wa simba sc wanapanga kuwahonga wachezaji wao ili wacheze chini ya kiwango tar 20. Nachokiona ni propaganda na visingizio vinavyoandaliwa baada ya kichapo kutoka kwa mnyama, niwape taarifa Yanga sc kuwa simba sio mbovu kama mlivyoaminishwa na hao wachambuzi hewa, tatizo la simba lipo kwenye finishing na linafanyiwa kazi kwa hio yanga sc msiingie uwanjani na matokeo yenu kwani mtazimia sana kama mlivyozoeleka.
Kwa nini utopolo wanakuwaga wajinga hivyo?Kwani mganga wao kafa?
 
Me naombea mnara upande tu, kutoka kwenye G5 mpaka G6+ ....hayo mengine siyapi kipaumbele.
 
Nimeona mitandaoni baadhi ya mashabiki wa yanga sc wakiongozwa na haji manara na wachambuzi uchwara wakieneza propaganda kuwa viongozi wa simba sc wanapanga kuwahonga wachezaji wao ili wacheze chini ya kiwango tar 20. Nachokiona ni propaganda na visingizio vinavyoandaliwa baada ya kichapo kutoka kwa mnyama, niwape taarifa Yanga sc kuwa simba sio mbovu kama mlivyoaminishwa na hao wachambuzi hewa, tatizo la simba lipo kwenye finishing na linafanyiwa kazi kwa hio yanga sc msiingie uwanjani na matokeo yenu kwani mtazimia sana kama mlivyozoeleka.
Wewe utakuwa sijui ni wale wale mnaoeneza propaganda za kipuuzi.
Manara kusema hivyo kama una akili timamu utajua tu kuwa wao ndio wanafanya huo mchezo.
Na lengo ni kutaka kuwatia moyo mashabiki wa Simba waingie kwenye mfumo,wajae uwanjani kusha wakutane na kichapo cha mbwa koko.

Kifupi mbinu zote za kishenzi msomali anaweza kuzifanya.Kama aliweza kuwafanya Masandawana wacheze chini ya kiwango,atashindwaje kwa hawa wachezaji wa Simba?
 
Back
Top Bottom