Kwa nini utopolo wanakuwaga wajinga hivyo?Kwani mganga wao kafa?Nimeona mitandaoni baadhi ya mashabiki wa yanga sc wakiongozwa na haji manara na wachambuzi uchwara wakieneza propaganda kuwa viongozi wa simba sc wanapanga kuwahonga wachezaji wao ili wacheze chini ya kiwango tar 20. Nachokiona ni propaganda na visingizio vinavyoandaliwa baada ya kichapo kutoka kwa mnyama, niwape taarifa Yanga sc kuwa simba sio mbovu kama mlivyoaminishwa na hao wachambuzi hewa, tatizo la simba lipo kwenye finishing na linafanyiwa kazi kwa hio yanga sc msiingie uwanjani na matokeo yenu kwani mtazimia sana kama mlivyozoeleka.
Wewe utakuwa sijui ni wale wale mnaoeneza propaganda za kipuuzi.Nimeona mitandaoni baadhi ya mashabiki wa yanga sc wakiongozwa na haji manara na wachambuzi uchwara wakieneza propaganda kuwa viongozi wa simba sc wanapanga kuwahonga wachezaji wao ili wacheze chini ya kiwango tar 20. Nachokiona ni propaganda na visingizio vinavyoandaliwa baada ya kichapo kutoka kwa mnyama, niwape taarifa Yanga sc kuwa simba sio mbovu kama mlivyoaminishwa na hao wachambuzi hewa, tatizo la simba lipo kwenye finishing na linafanyiwa kazi kwa hio yanga sc msiingie uwanjani na matokeo yenu kwani mtazimia sana kama mlivyozoeleka.