Yanga acheni Ushamba, barua mliyoandika ni ishara ya kukosa ukomavu

Yanga acheni Ushamba, barua mliyoandika ni ishara ya kukosa ukomavu

Ifike hatua hawa wajinga wapigwe nyundo ili next time wawe wanatumia akili. Wameenda mbali sana, basi hata wangekomaa na makosa ya refa, wamehemka wakaenda kwenye match fixing. Hizo ni tuhuma nzito huwezi kuandika andika tu
Na hawajui madhara yake.Kesi ya mandevu dogo wa Ghana iliwashinda.Bernad Morrison.Wanarukia wasiyoyajua.
 
Thread uliyoleta haina mantiki kabisa na hukutakiwa kuanzisha thread nzima kuonyesha picha ambazo ni za mifano kutoka sehemu mbalimbali. Kama unaona kuwa uamuzi ni halali unatakiwa ulete ushahidi wa kuonyesha kuwa mpira wa Yanga haukuvuka msitari, siyo kuleta picha za mifano kutokea sehemu zisizohusika na mchezo unaolalamikiwa.

Ninaweza ku-argue kuwa barua aliyoandika mwanasheria wa Yanga ina makosa kwenye matumizi ya neno match-fixing, lakini siyo ushamba kwa Yanga kulalamikia administrative errors zilizofanywa na wasimamizi wa mchezo huo kwani hiyo ni haki yao na hawawezi kufungiwa kwa kuair feeling zao- Usilete ya MIGA hapa. Katika mazingira haya yenye tension ndipo mwamuzi anatakiwa ajiridhishe kwa kureplay video kwa karibu lakini yeye hakwenda kuangalia video ingawa mwanzoni alikuwa amekimbilia kwenda kuangalia video ya Lomalisa -huenda kutafuta namna ya kumwadhibu zaidi ya Yellow Card.

Nia ya ku-lodge malalamiko kama haya siyo kutaka kupewa ushidni au kubadilisha matokea badi ni kuweka documentary evidence ili kusaidia kuzudia matukio kama haya kujitokeza huko mbeleni tena. Usiuite ushamba kwa vile tu hujui lengo la barua ni nini. Nadhani utakuwa ni mmoja wa wanaodhani kuwa Yanga wanataka kupewa ushindi wa Mezani.

Sehemu nyingi duniani zinakiri kuwa Yanga imenyimwa bao la wazi halafu wewe unaleta MIGA hapa

View attachment 2956002

Tatizo lenu mshazoea NBC , goli la offiside ni goli , goli nje ya mstari ni goli.

Lile sio goli hata ukienda mbinguni. Nendeni kwenye ligi yenu mtapewa goli
 
England vs Germany world cup. Wakati mechi inaelekea half time bado 1-1. Lampard alifunga goli ilivuka line .ilikuwa iwe 2'-1 Ushahidi ulikuwa angle 7. Na camera 3D. Clear kabisa goli kuliko jana. Refa akakataa.
Lakini VAR haikuwepo na goal tecnology haikuwepo. Na hao England walifaidika miaka sitini dhidi ya Germany pia world cup. Ndio ikafanyika uwekezaji.

Yanga suala lao kwisha wametolewa.
Tunajifunza Africa kuwekeza zaidi katika VAR na Goal Technology. Lakini bado mpira wamuuzi ni bin adamu hadi leo ulaya na Technology yoote bado shida zipo ,malalamiko pia na ndio mpira.
Jana VAR ingetumika vilivyo kuna matukio mengi saana, penalt, red card na goli pia au off side pia. Sema Yanga kimataifa maliza mpira nyumbani kwa mkapa na Simba pia. Figisu ugenini zipo ndio kia Africa hiyo. Kivyetu vyetu.
Unashika bomba home and away na unasubiri bahati moja ikatokea hawakupewa bass kwisha. Tafuta bahati nne au tano uone utsnyimwa zote?
Kwa Mkapa asitoke mtu. Haya yote tusingeyaona. Mbona timu tokea Algeria ilipigwa nne bila . .. walilamika magoli mawili moja off side moja faulo lakini nyumbani na game ikaisha 4-0. Na ndio uwanja wa nyumbani.
Sasa Simba na Yanga wanapigana biti hadi kwa mkapa.

Wajinga mpira wenyewe wamevuka robo kibahati tu na kwa rehema za sheria za CAF

TATIZO kubwa Tanzania hakuna Var , so this behavior was expected
 
Mamelod umewasikia wapi wakisema huko upuuzi, acha ku- justify ujinga.

Captain wa Mamelody kaulizwa vipi kuhusu goli la Yanga, alijibu yeye sio REFA.

Njoo kwetu, wachezaji wa Yanga wanasema lile goli hawana maturity hata ya lujibu kwa vyombo vya habari

Na huu ujinga wamemrithisha hadi kocha aibu a coach like him kuongea ujinga kama ule kwa media
 
Kwanza kabisa ni aibu kuandika Official letter kama ile tena kwa kuquote vifungu ambavyo ni irrelevant.

Hivi what does it mean fixing a match ?

Mnaweza kupigwa fine kupeleka tuhuma kama hizo bila evidence. Yaani hizo timu za SSC na Yanga utasema za ukoo, Hakuna brain kabisa.

Yaani mahaba ya mashabiki kwa mitandao mkaenda kuandika barua bila kufanya analysis za kutosha, mjiridhishe na hizo claim zenu msifanye vitu kwa hype ya mitandaoni, shame !

Decision ya REFA ilikuwa ni sahihi na lile sio goli, kwa mujibu wa sheria ya CAF, ili mpira uwe announced as a goal , haitakiwi portion yoyote ya mpira iguse line . Kama hata robo tatu ipo ndani ya goal na 1/4 ndio imegusa line , hilo sio goal.

Mpira uliopigwa na Staphan, portion of it ulikuwa umegusa line, japo asilimia kubwa like 85% ulikuwa upo ndani ya goal , 15% bado mpira ulikuwa nje ya line ya goal …. Hivyo bado haukuwa kwenye vigezo vya kuitwa goal.

Ndio maana refa hakupoteza muda na VAR. Refa anaenda VAR endapo tu ata doubt decision yake, hamuwezi kumpangia mtu kazi kwa mpira wa kubahatisha bahatisha na kushika bomba.

Na kama mlikuwa not satisfied, mna captain angemshauri refa aende, and for sure jibu lingekuwa ni lile lile. Mnabaki kusubiria huruma. Haipo hivyo. Mnacheza na NBC , magoli yenu ya mchongo tu, na mlishawahi kufunga goli kama hilo mkaweka kati, sasa mmezoea na kujua bado mnacheza NBC, that is CAF League sio NBC!

Mmejiaibisha kuandika barua bila kufanya analysis, TATIZO PRO za SSC na Yanga zinaongozwa na Academia failures waliounga unga viuandishi wa habari diploma na vi diploma vya ukocha ndio maana hawana sense utasema wendawazimu.

View attachment 2955907

Na CAF wala hawatopoteza muda kujibu gazeti lenu ambalo ni baseless claim.

Kama kweli you deserved , you had 90min in Dar, hakukuwa na maajabu yoyote, mkaenda next 90min, hakuna cha maana. Mkapewa na 5 penalties, bado hamkutoboa, still mnaweka claim as if Yanga ni timu kubwa.

Yanga na SSC ni timu ndogo ambazo hata uhakika wa kuvuka makundi kila mwaka HAZINA.

It is a shame barua kama ile kwenda CAF na tunaaibisha taifa kwa kukosa ukomavu kwenye soka.

Mmekaa 25 years hamjui robo fainal ni nini, hamna experience ndio maana claim zimekuwa nyingi, na yule refa atawafungulia mashtaka kwa defamation mliyofanya dhidi yake ili next time muache kufanya kazi kwa hype za mitandao, mfanye kazi kwa evidence informed practice.
sikia tena usikie vizuri sana,hata uangalie kwa ango yoyote ile uke mpira ukikuwa 100% umeingia,pia kumbuka refa alishapuliza filimbi ya twende kati,ila baadae akageuza msimamo,kama wewe ni mjinga kaa na ujinga wako,huku unajamba ho yo,yanga imetimiza matakwa ya kikanuni,ambayo inaturuhusu,timu kutuma malalamiko,hatujakurupuka kama wewe ukivyokurupuka kama umebanwa mavi baafa ya kula kiporo cha ugali wa mhogo kutoka nakapanya,shubamiti
 
sikia tena usikie vizuri sana,hata uangalie kwa ango yoyote ile uke mpira ukikuwa 100% umeingia,pia kumbuka refa alishapuliza filimbi ya twende kati,ila baadae akageuza msimamo,kama wewe ni mjinga kaa na ujinga wako,huku unajamba ho yo,yanga imetimiza matakwa ya kikanuni,ambayo inaturuhusu,timu kutuma malalamiko,hatujakurupuka kama wewe ukivyokurupuka kama umebanwa mavi baafa ya kula kiporo cha ugali wa mhogo kutoka nakapanya,shubamiti

Leta angel zote kuwa mpira uliingia, ; 15 % ya mpira ulikuwa nje. Lile sio goli tatizo mmezoea mambo ya NBC . Hakuna Refa aliyeweka mpira kati

Mashabiki wa Yanga mnatiana ujinga na mpira wa kubahatishaa
 
Kwanza kabisa ni aibu kuandika Official letter kama ile tena kwa kuquote vifungu ambavyo ni irrelevant.

Hivi what does it mean fixing a match ?

Mnaweza kupigwa fine kupeleka tuhuma kama hizo bila evidence. Yaani hizo timu za SSC na Yanga utasema za ukoo, Hakuna brain kabisa.

Yaani mahaba ya mashabiki kwa mitandao mkaenda kuandika barua bila kufanya analysis za kutosha, mjiridhishe na hizo claim zenu msifanye vitu kwa hype ya mitandaoni, shame !

Decision ya REFA ilikuwa ni sahihi na lile sio goli, kwa mujibu wa sheria ya CAF, ili mpira uwe announced as a goal , haitakiwi portion yoyote ya mpira iguse line . Kama hata robo tatu ipo ndani ya goal na 1/4 ndio imegusa line , hilo sio goal.

Mpira uliopigwa na Staphan, portion of it ulikuwa umegusa line, japo asilimia kubwa like 85% ulikuwa upo ndani ya goal , 15% bado mpira ulikuwa nje ya line ya goal …. Hivyo bado haukuwa kwenye vigezo vya kuitwa goal.

Ndio maana refa hakupoteza muda na VAR. Refa anaenda VAR endapo tu ata doubt decision yake, hamuwezi kumpangia mtu kazi kwa mpira wa kubahatisha bahatisha na kushika bomba.

Na kama mlikuwa not satisfied, mna captain angemshauri refa aende, and for sure jibu lingekuwa ni lile lile. Mnabaki kusubiria huruma. Haipo hivyo. Mnacheza na NBC , magoli yenu ya mchongo tu, na mlishawahi kufunga goli kama hilo mkaweka kati, sasa mmezoea na kujua bado mnacheza NBC, that is CAF League sio NBC!

Mmejiaibisha kuandika barua bila kufanya analysis, TATIZO PRO za SSC na Yanga zinaongozwa na Academia failures waliounga unga viuandishi wa habari diploma na vi diploma vya ukocha ndio maana hawana sense utasema wendawazimu.

View attachment 2955907

Na CAF wala hawatopoteza muda kujibu gazeti lenu ambalo ni baseless claim.

Kama kweli you deserved , you had 90min in Dar, hakukuwa na maajabu yoyote, mkaenda next 90min, hakuna cha maana. Mkapewa na 5 penalties, bado hamkutoboa, still mnaweka claim as if Yanga ni timu kubwa.

Yanga na SSC ni timu ndogo ambazo hata uhakika wa kuvuka makundi kila mwaka HAZINA.

It is a shame barua kama ile kwenda CAF na tunaaibisha taifa kwa kukosa ukomavu kwenye soka.

Mmekaa 25 years hamjui robo fainal ni nini, hamna experience ndio maana claim zimekuwa nyingi, na yule refa atawafungulia mashtaka kwa defamation mliyofanya dhidi yake ili next time muache kufanya kazi kwa hype za mitandao, mfanye kazi kwa evidence informed practice.
kama haikuwa goal mbona kona hawajapewa na mpira ulitolewa kwa kichwa??
 
Huyu Refa siku akipangiwa kuja Dar mimi nitadeal nae binafsi, yaani aombe Mungu nisiwepo tu Dar hiyo siku, maanina zake!
 
kama haikuwa goal mbona kona hawajapewa na mpira ulitolewa kwa kichwa??
Mkuu mpira haukuvuka wote mstari, pia kona kipa mpira aliushika kona ilikua bado, tatizo ni kwamba hatuna line technology ref hana kosa kabisa.
 
Kwamba sisi tulikuwa tunaangalia mpira upi?
Taarifa nilizozipata ni kuwa CAF itawapiga fine, na yule refa anaishitaki Yanga kwa defamation

Yule Moderator wa match ya Yanga na MSF alipoulizwa alijibu hivi

[emoji327] The VAR team in the Mamelodi Sundowns vs Yanga game made the right decision. The ball didn't cross the line.

Young Africans, Chiefs and Pirates must learn to accept defeat in good spirit and stop using one angle to make decisions.

Tanzanian league has no VAR so this behaviour of Yanga Africans was expected.


Ishu kubwa hapa huko CAF ni wanataka ku ipressurize Yanga ilete evidence ya Fixing match kwa sababu hiyo sio claim Bali ni Accusations, any accusations have to be supported by evidence or else unakula fine au kufungiwa kushiriki CAF league
Barua itakuwa imeandikwa na ali kamwe using ChatGPT, alikamwe is form 4 failure aliyesomea ukocha wa miez 6 level C

Wabaki tu huko huko NBC ambako magoli mengi wanaweka kati ni mchongo
Walishawahi kumfunga Ihefu goli kama lile jamaa wakaweka kati fasta,

So behavior wanazoonesha was expected
 
Mkuu mpira haukuvuka wote mstari, pia kona kipa mpira aliushika kona ilikua bado, tatizo ni kwamba hatuna line technology ref hana kosa kabisa.
Sasa wewe unasemaje mpira haukuvuka na hapo hapo unazungumzia kutokuwepo goal line technology? Au wewe ulikuwa nayo hadi ukachagua upande?

Kwani magoli kama hayo yameanza sasa baada ya kuanzishwa hiyo teknolojia?

Kuna wakati angalia kitu kwa angle zote. Sio upande unaopenda wewe.
 
Kwanza kabisa ni aibu kuandika Official letter kama ile tena kwa kuquote vifungu ambavyo ni irrelevant.

Hivi what does it mean fixing a match ?

Mnaweza kupigwa fine kupeleka tuhuma kama hizo bila evidence. Yaani hizo timu za SSC na Yanga utasema za ukoo, Hakuna brain kabisa.

Yaani mahaba ya mashabiki kwa mitandao mkaenda kuandika barua bila kufanya analysis za kutosha, mjiridhishe na hizo claim zenu msifanye vitu kwa hype ya mitandaoni, shame !

Decision ya REFA ilikuwa ni sahihi na lile sio goli, kwa mujibu wa sheria ya CAF, ili mpira uwe announced as a goal , haitakiwi portion yoyote ya mpira iguse line . Kama hata robo tatu ipo ndani ya goal na 1/4 ndio imegusa line , hilo sio goal.

Mpira uliopigwa na Staphan, portion of it ulikuwa umegusa line, japo asilimia kubwa like 85% ulikuwa upo ndani ya goal , 15% bado mpira ulikuwa nje ya line ya goal …. Hivyo bado haukuwa kwenye vigezo vya kuitwa goal.

Ndio maana refa hakupoteza muda na VAR. Refa anaenda VAR endapo tu ata doubt decision yake, hamuwezi kumpangia mtu kazi kwa mpira wa kubahatisha bahatisha na kushika bomba.

Na kama mlikuwa not satisfied, mna captain angemshauri refa aende, and for sure jibu lingekuwa ni lile lile. Mnabaki kusubiria huruma. Haipo hivyo. Mnacheza na NBC , magoli yenu ya mchongo tu, na mlishawahi kufunga goli kama hilo mkaweka kati, sasa mmezoea na kujua bado mnacheza NBC, that is CAF League sio NBC!

Mmejiaibisha kuandika barua bila kufanya analysis, TATIZO PRO za SSC na Yanga zinaongozwa na Academia failures waliounga unga viuandishi wa habari diploma na vi diploma vya ukocha ndio maana hawana sense utasema wendawazimu.

View attachment 2955907

Na CAF wala hawatopoteza muda kujibu gazeti lenu ambalo ni baseless claim.

Kama kweli you deserved , you had 90min in Dar, hakukuwa na maajabu yoyote, mkaenda next 90min, hakuna cha maana. Mkapewa na 5 penalties, bado hamkutoboa, still mnaweka claim as if Yanga ni timu kubwa.

Yanga na SSC ni timu ndogo ambazo hata uhakika wa kuvuka makundi kila mwaka HAZINA.

It is a shame barua kama ile kwenda CAF na tunaaibisha taifa kwa kukosa ukomavu kwenye soka.

Mmekaa 25 years hamjui robo fainal ni nini, hamna experience ndio maana claim zimekuwa nyingi, na yule refa atawafungulia mashtaka kwa defamation mliyofanya dhidi yake ili next time muache kufanya kazi kwa hype za mitandao, mfanye kazi kwa evidence informed practice.
Unachuki balaa
 
Hizi nazo eti ni akili! Wewe unavyopenda kula nani anakuingilia raha zako! Unavyopenda chabo ulishasikia mtu anakupigia kelele, mbona huachi ngono na sisi hatutii neno. Acha kujifanya maisha umeyapatia na usijipe umuhimu kwenye maisha ya watu wengine.
Watu kama hao wanataka muda wote habari za siasa ccm hivi na chadema vile ndio mambo muhimu kwao wanaona, kwenye jukwaa hata watu wakijadili upuuzi kiasi gani hukuti wakisema kitu kwa kuwa tu ni siasa.
 
kama haikuwa goal mbona kona hawajapewa na mpira ulitolewa kwa kichwa??

Mpira uliruka wakati filimbi imeshapigwa. Wenyewe hilo swali ndio mnatembea nalo

Mnaona kama mna reasoning , tatizo lenu ndio mara ya kwanza kucheza robo kutokea 98, na mmezoea NBC.

Pamoja na kelele zenu unakuta mwakani hata makundi hamtoboi
 
Sasa wewe unasemaje mpira haukuvuka na hapo hapo unazungumzia kutokuwepo goal line technology? Au wewe ulikuwa nayo hadi ukachagua upande?

Kwani magoli kama hayo yameanza sasa baada ya kuanzishwa hiyo teknolojia?

Kuna wakati angalia kitu kwa angle zote. Sio upande unaopenda wewe.

Wewe umeangalia kwa angle zipi ?
 
Kwanza kabisa ni aibu kuandika Official letter kama ile tena kwa kuquote vifungu ambavyo ni irrelevant.

Hivi what does it mean fixing a match ?

Mnaweza kupigwa fine kupeleka tuhuma kama hizo bila evidence. Yaani hizo timu za SSC na Yanga utasema za ukoo, Hakuna brain kabisa.

Yaani mahaba ya mashabiki kwa mitandao mkaenda kuandika barua bila kufanya analysis za kutosha, mjiridhishe na hizo claim zenu msifanye vitu kwa hype ya mitandaoni, shame !

Decision ya REFA ilikuwa ni sahihi na lile sio goli, kwa mujibu wa sheria ya CAF, ili mpira uwe announced as a goal , haitakiwi portion yoyote ya mpira iguse line . Kama hata robo tatu ipo ndani ya goal na 1/4 ndio imegusa line , hilo sio goal.

Mpira uliopigwa na Staphan, portion of it ulikuwa umegusa line, japo asilimia kubwa like 85% ulikuwa upo ndani ya goal , 15% bado mpira ulikuwa nje ya line ya goal …. Hivyo bado haukuwa kwenye vigezo vya kuitwa goal.

Ndio maana refa hakupoteza muda na VAR. Refa anaenda VAR endapo tu ata doubt decision yake, hamuwezi kumpangia mtu kazi kwa mpira wa kubahatisha bahatisha na kushika bomba.

Na kama mlikuwa not satisfied, mna captain angemshauri refa aende, and for sure jibu lingekuwa ni lile lile. Mnabaki kusubiria huruma. Haipo hivyo. Mnacheza na NBC , magoli yenu ya mchongo tu, na mlishawahi kufunga goli kama hilo mkaweka kati, sasa mmezoea na kujua bado mnacheza NBC, that is CAF League sio NBC!

Mmejiaibisha kuandika barua bila kufanya analysis, TATIZO PRO za SSC na Yanga zinaongozwa na Academia failures waliounga unga viuandishi wa habari diploma na vi diploma vya ukocha ndio maana hawana sense utasema wendawazimu.

View attachment 2955907

Na CAF wala hawatopoteza muda kujibu gazeti lenu ambalo ni baseless claim.

Kama kweli you deserved , you had 90min in Dar, hakukuwa na maajabu yoyote, mkaenda next 90min, hakuna cha maana. Mkapewa na 5 penalties, bado hamkutoboa, still mnaweka claim as if Yanga ni timu kubwa.

Yanga na SSC ni timu ndogo ambazo hata uhakika wa kuvuka makundi kila mwaka HAZINA.

It is a shame barua kama ile kwenda CAF na tunaaibisha taifa kwa kukosa ukomavu kwenye soka.

Mmekaa 25 years hamjui robo fainal ni nini, hamna experience ndio maana claim zimekuwa nyingi, na yule refa atawafungulia mashtaka kwa defamation mliyofanya dhidi yake ili next time muache kufanya kazi kwa hype za mitandao, mfanye kazi kwa evidence informed practice.
Wewe ni tahira wa mwisho even your blur picture zinaonesha mpira uko ndani uwezi kuwa na akili kuliko watu wote kichaa wewe
 
Back
Top Bottom