Naona msukule fc wameususa uzi kwa aibu.
Hawa jamaa hawachoki kudanganywa tu.
Mara tukikosa unmbingwa waulizwe gsm
Mara surprise ya mchezaji sijui chama, louis akaja manara
Hapa washawapiga mashabiki hela tayari.
Uto uto...msukule fc, chura fc, ndala fc muwe mnajiongeza hata kwa kudesa.