Yanga acheni utapeli, Mechi za Club bingwa hazitakiwi kuwa na watazamaji

MEMKWA FC acheni kelele.
 
Hii timu inamatatizo wao ni watu wa kulialia, majungu, wanajipa ukubwa ambao hata Namungo wamewazidi. Nikiiangalia ni kama timu ya vibarazani. Kwa hili wanajitoa ufahamu na tayari wameshaanza kulia na CAF teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…