nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 805
Sawa unao uhuru wa kuongeaKatika kuangalia kwangu mechi mbili za Yanga kwenye michuano ya mapinduzi cup naona dhahiri shairi kuna upendeleo kwenye timu ya yanga.Hili ni tatizo na nasema kabisa haitaweza kufanya vizuri kwenye mashindano ya Africa
Hutu refa ni mnduku
Tuwe wa kweli angalia maamuzi mengi ya refa yalikuwa ni ya kuingamiza Azam,tukianzia kwenye fouls yanga walistahili kupata kadi mbili nyekundu kwa wachezaji Abdul na donald ngoma lakin refa akaacha sasa kama sio kubebwa nn, marefa wetu hawako fair hata kidogo, napenda kuwaambia hamtafika mbali kwenye CAF orange championHakika mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni kwakigezo gani ambacho unaona Yanga wanabebwa?
Hamna kitu, tatizo Azam walikuwa wanacheza na refa,Tuwe wa kweli angalia maamuzi mengi ya refa yalikuwa ni ya kuingamiza Azam,tukianzia kwenye fouls yanga walistahili kupata kadi mbili nyekundu kwa wachezaji Abdul na donald ngoma lakin refa akaacha sasa kama sio kubebwa nn, marefa wetu hawako fair hata kidogo, napenda kuwaambia hamtafika mbali kwenye CAF orange champion