nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 805
Katika kuangalia kwangu mechi mbili za Yanga kwenye michuano ya mapinduzi cup naona dhahiri shairi kuna upendeleo kwenye timu ya Yanga.
Hili ni tatizo na nasema kabisa haitaweza kufanya vizuri kwenye mashindano ya Africa
Hili ni tatizo na nasema kabisa haitaweza kufanya vizuri kwenye mashindano ya Africa
Last edited by a moderator: