Mim naupeo mkubbwa wakuchambua soka ukiona naandika kitu si ushabiki nakama kuna media yoyote inataka mchambuz wa soka please contact me au niunganishe
Kwani Yanga haijawahi kuingia kwenye makundi? Au mbwembwe tu , makundi yameshapangwa tutajua ubora wa kikosi Cha Simba,kwenye Ligi ya Tanzania mpaka Sasa timu Bora Ni Yanga kwani haijapoteza mchezo hata mmoja wakati mtani kapigwa michezo 2.Kwa hatua iliyofika Simba Sports Club kuingia hatua ya makundi CAF Champions League inatupa changamoto wapinzani na sisi tukae chini.
Tutafakari;Je, siku tukipata nafasi yakuwakilisha nchi je kikosi chetu kinaweza kutufikisha mbali cha msingi tu Yanga wajipange watengeneze kikosi bora chenye uwezo wa kushindana na timu kubwa Afrika kama Mamelod, Kaizer, Orlando, TP Mazembe, Al Ahly.
Kwa mawazo yangu Yanga kuna haja ya kuachana na Maiko Sarpong, Haruna Niyonzima, Carlos Carinho. Wasajili wachezaji wakubwa nawenye uwezo mkubwa kuzidi hao maana naona kama vile hawana mchango kwenye timu.
Subiri kwenye makundi utaona ubora wa wachezaji wa Simba.Kelele zote hizi Ni baada ya kumfunga platinum .Mbona hamsemi mlivyofungwa na Prison na Mtibwa wakati hiyo timu ya Yanga haijapoteza mechi hata moja kwenye Ligi na malengo hawategemei kupoteza mechi hata moja.Tusubiri muda utasema tatizo mashabiki wa Simba mna kelele na viherehere Kama mwanamke wa kizaramo akipiga pilau tu au akivaa vizuri kila mtu mtaani atajuaNa Simba waachane na Mugalu maana ni Sarpong mwembamba.
Simba kumfunga Platinum imekuwa gumzo si unajua kipofu kaona mwezi alafu Hawa jamaa hawakutegemea kushinda ndiyo maana kelele zimekuwa nyingi wamesahau kipigo Cha kwenye Ligi Cha Tanzania prisons na Mtibwa.Muda utasema makundi yameshapangwa tutajua ubora wa kikosi Chao .Ni kipigo tu kuanzia goli 5Huwezi kujipambanua una timu bora kwa kumfunga gwambina, ihefu hell no, . funga as vita, piga waarabu, piga mazemba, piga casablanca, hapo ukijisifu inakuwa ni halali kabsa
Hufuatilii soka la Afrika na ndio maana hujui kwa nini simba imefankiwa kuingia makundi kwa msimu huu na miaka ya karibuni.Simba siyo timu inayopaswa kuingia hatua za makundi. Basi tu, mpira wetu wa Africa ndiyo ulivyo.
Platinum tummepiga nne bila.Subiri kwenye makundi utaona ubora wa wachezaji wa Simba.Kelele zote hizi Ni baada ya kumfunga platinum .Mbona hamsemi mlivyofungwa na Prison na Mtibwa wakati hiyo timu ya Yanga haijapoteza mechi hata moja kwenye Ligi na malengo hawategemei kupoteza mechi hata moja.Tusubiri muda utasema tatizo mashabiki wa Simba mna kelele na viherehere Kama mwanamke wa kizaramo akipiga pilau tu au akivaa vizuri kila mtu mtaani atajua
Ulivyomjinga we unadhani Simba bado ni level ya Utopolo tu ?Simba kumfunga Platinum imekuwa gumzo si unajua kipofu kaona mwezi alafu Hawa jamaa hawakutegemea kushinda ndiyo maana kelele zimekuwa nyingi wamesahau kipigo Cha kwenye Ligi Cha Tanzania prisons na Mtibwa.Muda utasema makundi yameshapangwa tutajua ubora wa kikosi Chao .Ni kipigo tu kuanzia goli 5
Afate huu ushauri hakika itamsaidia sana, safar moja huanzisha nyingineSafi sana mkuu.
Nakushauri, jaribu kuwa unaandika makala mbalimbali za michezo unazipost humu.
Na pia tafuta emails za magazeti ya michezo, kuwa unajaribu kuwatumia makala zako, wakizikubali wanazichapa na unaweza pata shout-out kutokea hapo.
Kingine, fatilia vipindi vya michezo na uwe unapiga simu kutoa uchambuzi wako. Pia kuna kipindi huwa wanafanya vipindi nje ya studio, hasa maeneo ya vibanda au bar kunapoonesha mpira, jua ratiba zao na anza kuhakikisha unapata nafasi ya kuhojiwa.
Simba haikaribiani na Nkana wala Platinum.Hufuatilii soka la Afrika na ndio maana hujui kwa nini simba imefankiwa kuingia makundi kwa msimu huu na miaka ya karibuni.
Tangu Mwaka 2017 CAF waliongeza idadi ya timu kutoka 8 hadi 16 zinazounda makundi na hii kupelekea timu zenye uwezo unaokaribiana kukutana knock out stage. Simba hakaribiani viwango na nkana au platinum au zesco? Kipi cha ajabu simba kuitoa nkana, platinum au zesco?
Karibu sana JF.Mim naupeo mkubbwa wakuchambua soka ukiona naandika kitu si ushabiki nakama kuna media yoyote inataka mchambuz wa soka please contact me au niunganishe
Sawa shabiki maandazi.Simba haikaribiani na Nkana wala Platinum.
Simba ile sanasana KMC.
Simba kumfunga Platinum imekuwa gumzo si unajua kipofu kaona mwezi alafu Hawa jamaa hawakutegemea kushinda ndiyo maana kelele zimekuwa nyingi wamesahau kipigo Cha kwenye Ligi Cha Tanzania prisons na Mtibwa.Muda utasema makundi yameshapangwa tutajua ubora wa kikosi Chao .Ni kipigo tu kuanzia goli 5
Tatizo la Yanga ni Akili Tu, mengineyo ni Nyongeza tu
-Shabiki wa Yanga akikuta Shabiki wa Simba anaamini Simba inaweza kuwa Bingwa Africa anamuambia Wewe ni Kichaa.
-Yanga wakati anashiriki sana Club Bingwa utawasikia wanajitamba Kupanda Ndege wa kimataifa wanaita Simba wa Matopeni, sikuwahi kuona shabiki wa Yanga akizungumzia kuingia Makundi, robo final nk wao wanazungumzia Kupanda Ndege tu.
- Kitendo cha Mashabiki wa Yanga kupokea wapinzani wa Simba na kuwapa msaada ni ushahidi wa matatizo Ya Akili ya Yanga.
Yanga wakijirekebisha kwenye Mentality mengine yote yatakuja na tutaijenga Pamoja Tanzania yetu kisoka kama TP Mazembe na As Vita wanavyoijenga Congo yao kila leo
Utopolo ndo maana Luc alisema ni kama manyani. Unasemaje eti Yanga ndio timu bora kwa vile bado haijafungwa. Kwenye ligi kinachoangaliwa ni point. Simba akishinda vipolo vyake anakua sawa points na wewe afu unajisifu. Acha muda uamue.Subiri kwenye makundi utaona ubora wa wachezaji wa Simba.Kelele zote hizi Ni baada ya kumfunga platinum .Mbona hamsemi mlivyofungwa na Prison na Mtibwa wakati hiyo timu ya Yanga haijapoteza mechi hata moja kwenye Ligi na malengo hawategemei kupoteza mechi hata moja.Tusubiri muda utasema tatizo mashabiki wa Simba mna kelele na viherehere Kama mwanamke wa kizaramo akipiga pilau tu au akivaa vizuri kila mtu mtaani atajua
Kitu unaweza chambua ni karanga tuMim naupeo mkubbwa wakuchambua soka ukiona naandika kitu si ushabiki nakama kuna media yoyote inataka mchambuz wa soka please contact me au niunganishe
Wewe mchambuzi uchwara unaiona Simba ni level za kina Mamelod, Zamalek, Mazembe?Kwa hatua iliyofika Simba Sports Club kuingia hatua ya makundi CAF Champions League inatupa changamoto wapinzani na sisi tukae chini.
Tutafakari;Je, siku tukipata nafasi yakuwakilisha nchi je kikosi chetu kinaweza kutufikisha mbali cha msingi tu Yanga wajipange watengeneze kikosi bora chenye uwezo wa kushindana na timu kubwa Afrika kama Mamelod, Kaizer, Orlando, TP Mazembe, Al Ahly.
Kwa mawazo yangu Yanga kuna haja ya kuachana na Maiko Sarpong, Haruna Niyonzima, Carlos Carinho. Wasajili wachezaji wakubwa nawenye uwezo mkubwa kuzidi hao maana naona kama vile hawana mchango kwenye timu.