Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unayoyaweza ni haya👇 Huwezi kushindana na Laban og bado sanaYaani Messi afundishwe Mpira na Msuva?
Nisaidie kurudisha ID yangu ya zamani. nafanyaje? au nikutajie inbox uirudisheHakuna matata.
Duke na andambwile harafu aucho na mudarJapo Mimi ni mchambuzi na sina timu kama kawaida yetu ila leo naomba ku-declare my interest kwa kuipa ushindi Yanga Kwa kosi zito walilonalo wananchi. Ni zito kucheza na Simba, naona Simba wataelemewa from the beginning hivyo kupigwa mvua ya goli.
[emoji23][emoji23]Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani[emoji23][emoji23]
Soma Pia: Yanga SC VS Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024
Utabiri wangu: Yanga 4 - 0 Simba
NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.