little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Haiwakwamishi four karibu na zero...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaUkishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Mbona mnakua sio wazalendo jamani?Simba na Yanga wote hakuna atakayefuzu tunza hii comment
Point unayoSawa
Naitunza hapa hapa
Ila ukiona Yanga kaenda nusu basi ujue na Simba keshaenda
Watasema walihahi kufika mwaka 1905Aahaaaa
Dawa ni kuingia fainali tu
Huo ndo ukweli mchunguMbona mnakua sio wazalendo jamani?
Naunga mkono hoja [emoji1787][emoji16]Watasema walihahi kufika mwaka 1905
Huu si utabiri wala nasibu.
Kwa Sasa Simba ashapoteza "defence merchanisms" zote alizokuwa anajikingia dhidi ya mashambulizi ya Yanga
Kichaka cha "sisi wa kimataifa"....fyekelewa mbali
Kichaka cha huku kwa wanaume...fyekelewa mbali
Kichaka cha robo fainali...fyekelewa mbali
Hivyo vimebakiwa vichaka viwili tu,nusu fainali na rank za CAF,Simba akiwa na point 39 na Yanga akiwa na 31
Iwapo Yanga atapiita hatua hii huku Simba akigotea hapo hapo,basi Simba atakuwa "keshavuliwa ubingwa" na Yanga kwa rank maana Yanga atafikisha point 46
Simba kwa Sasa anacheza Ili kuhakikisha Yanga ampiti kimataifa,
Tena nashukuru CAF kwa kuiweka mechi ya Yanga saa tatu usiku huku ya Simba ikiwa saa tano tarehe 5 Ijumaa hii
Hivyo Yanga ataanza na Simba afuate baadae
Simba kwa Sasa anacheza mpira ila macho yake yapo kwa Yanga kwa asilimia mia
Ndo maana mitaani na mitandaoni Simba wanautumia muda wao mwingi kumfuatilia na kumjadili Yanga
Kwanini?
Kwakuwa anaenda kuiangusha himaya ya Simba ya kufikirika na ile ndogo ya kihalisia
Yanga akifuzu wa kwanza itakuwa na perfect motivation ya Simba kumchapa Al Ahyl kwake
Na Al Ahyl anaomba Mamelodi amtoe Yanga Ili Simba akose morali ya kupambana
Kwani Simba mpaka Sasa ana mentali ya TUKOSE WOTE.
Kwani Simba akiulizwa leo kipi bora kati ya nyie mapacha wawili kwenda nusu na Yanga kwenda peke yake Simba bila shaka watasema TUKOSE WOTE
NB:
Iwapo Simba atafuzu pamoja na Yanga bila kupepesa macho basi fainali ya mwaka huu itapigwa hapa hapa Bongo kati ya Simba na Yanga
Inshallah na ikawe kwa mustakabali mwema wa mpira wetu
Tukutane fainaliView attachment 2950606
Simba ameshatoka al ahaly akiwa nyumbani anacheza na kushambulia kama nyukiHuu si utabiri wala nasibu.
Kwa Sasa Simba ashapoteza "defence merchanisms" zote alizokuwa anajikingia dhidi ya mashambulizi ya Yanga
Kichaka cha "sisi wa kimataifa"....fyekelewa mbali
Kichaka cha huku kwa wanaume...fyekelewa mbali
Kichaka cha robo fainali...fyekelewa mbali
Hivyo vimebakiwa vichaka viwili tu,nusu fainali na rank za CAF,Simba akiwa na point 39 na Yanga akiwa na 31
Iwapo Yanga atapiita hatua hii huku Simba akigotea hapo hapo,basi Simba atakuwa "keshavuliwa ubingwa" na Yanga kwa rank maana Yanga atafikisha point 46
Simba kwa Sasa anacheza Ili kuhakikisha Yanga ampiti kimataifa,
Tena nashukuru CAF kwa kuiweka mechi ya Yanga saa tatu usiku huku ya Simba ikiwa saa tano tarehe 5 Ijumaa hii
Hivyo Yanga ataanza na Simba afuate baadae
Simba kwa Sasa anacheza mpira ila macho yake yapo kwa Yanga kwa asilimia mia
Ndo maana mitaani na mitandaoni Simba wanautumia muda wao mwingi kumfuatilia na kumjadili Yanga
Kwanini?
Kwakuwa anaenda kuiangusha himaya ya Simba ya kufikirika na ile ndogo ya kihalisia
Yanga akifuzu wa kwanza itakuwa na perfect motivation ya Simba kumchapa Al Ahyl kwake
Na Al Ahyl anaomba Mamelodi amtoe Yanga Ili Simba akose morali ya kupambana
Kwani Simba mpaka Sasa ana mentali ya TUKOSE WOTE.
Kwani Simba akiulizwa leo kipi bora kati ya nyie mapacha wawili kwenda nusu na Yanga kwenda peke yake Simba bila shaka watasema TUKOSE WOTE
NB:
Iwapo Simba atafuzu pamoja na Yanga bila kupepesa macho basi fainali ya mwaka huu itapigwa hapa hapa Bongo kati ya Simba na Yanga
Inshallah na ikawe kwa mustakabali mwema wa mpira wetu
Tukutane fainaliView attachment 2950606
Yao Yao Jeshii atakosekana, hajapona freshTunaenda kumfunga Mamelody 3 bila , mark my words.uzuri kikosi chetu chote kitakuwepo
Mambo ya kuwaambia 5imba unatuambia Yanga..!! Wa kupimwa wewe..!!Simba na Yanga wote hakuna atakayefuzu tunza hii comment