Yanga akishinda na waarabu nipigwe ban miezi sita

Yanga akishinda na waarabu nipigwe ban miezi sita

Mmekalia ushirikina tu, ndio maana timu yenu haizidi robo fainali. Kama mpira ni uchawi, vipi mbona nyie wachawi maarufu mara kuwasha Moto, mara gari kurudi kinyumenyume kilometa 30 mbona hamchukui makombe?.
Achana na watu wenye roho ya ushirikina, hata hauwasaidii zaidi ya kuharibu mipango ya watu, uliona wapi mganga anajiagua?
 
Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
tegua mitego ya watu lakini angalia usije weka matanga tu, btw YANGA anashinda nyumbani na anaenda kudraw ugenini tunza hii
 
Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
Haya mateso mnayoyapata hivi sasa hayataisha mpaka mfanikiwe kuingia angalau nusu fainali ya mashindano yoyote ya CAF.

SITAKI HISTORIA.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wallah hii nchi uhuru umezidi
 
Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
Hapo juani kuna mganga gani? Acha vitisho wewe kaa kwa kutulia.
 
Acha kudanganya dunia wewe. Au neno juani ndo umelisikia hivi karibuni? Mbona kuna zahanati sasa?
kuna mambo zaid hujafunguliwa mlango wake na ukifunguliwa utogopa hata kukanya ardhi
 
Simba tangu YANGA anaanza haya mashindano ya KIMATAIFA mshazoea kubet kwa ahadi ya kutoa mikundru yenu... Kwahiyo marinda yamewatoka sana kuanzia mtoano, robo, nusu na sasa fainali... Inshort tutawabandua tena nyie makolo na hao waume zenu wa kiarabu...
Matokeo yatakua hivi Fainali
YANGA 2-0 USM
USM 1-1 YANGA
YANGA 💛💚 BINGWA 🏆🏅
 
Yanga sio timu yangu nasitaishangilia milele ila napenda bidii ya mtu mie sio mnafiki ni timu ambayo Kwa Sasa ipo juu nandio imetoka Tanzania Sasa utaipondeaje jamani acha roho mbaya bwana washinde bwana
 
Back
Top Bottom