parolko tarantura
Senior Member
- Mar 28, 2023
- 149
- 243
Achana na watu wenye roho ya ushirikina, hata hauwasaidii zaidi ya kuharibu mipango ya watu, uliona wapi mganga anajiagua?Mmekalia ushirikina tu, ndio maana timu yenu haizidi robo fainali. Kama mpira ni uchawi, vipi mbona nyie wachawi maarufu mara kuwasha Moto, mara gari kurudi kinyumenyume kilometa 30 mbona hamchukui makombe?.
tegua mitego ya watu lakini angalia usije weka matanga tu, btw YANGA anashinda nyumbani na anaenda kudraw ugenini tunza hiiUchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
HaaaaaWhat is so special about you!! Hata ungepigwa Ban ya maisha! Una msaada/umuhimu gani humu jamii forums?
Dogo acha kutafuta kick kupitia mgongo wa timu kubwa kabisa Barani Afrika, kama Yanga. Wewe ni mtoto mdogo sana.
Haya mateso mnayoyapata hivi sasa hayataisha mpaka mfanikiwe kuingia angalau nusu fainali ya mashindano yoyote ya CAF.Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
Hapo juani kuna mganga gani? Acha vitisho wewe kaa kwa kutulia.Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
AaahaaaaSitokaa nirudie huo ujinga ππ
Kwamba juani hakuna mganga sawatulia hujui kitu
Acha kudanganya dunia wewe. Au neno juani ndo umelisikia hivi karibuni? Mbona kuna zahanati sasa?ugonjwa wako usipopona juani huponi popote
Usitishe watu. Mbona hujawaambia simba wake kuroga huko juani ili wasifungwe na AZAM???kuna mambo zaid hujafunguliwa mlango wake na ukifunguliwa utogopa hata kukanya ardhi