Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
If wishes were horses.Dar
1-1
Algiers
1-0
Algiers wanasepa na taji hilo namna hiyo
Pweza bibi yakoww una mchango gani pweza ww
Uko hapo jibondo sio!Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
Bado tu au aongeze sauti?What is so special about you!! Hata ungepigwa Ban ya maisha! Una msaada/umuhimu gani humu jamii forums?
Dogo acha kutafuta kick kupitia mgongo wa timu kubwa kabisa Barani Afrika, kama Yanga. Wewe ni mtoto mdogo sana.
Wameshindaaaaaaaaaaa.....?Yanga haijaanza kushinda Leo Kwa taarifa yako Yanga itashinda goli 4+
Unasema?Young africans 3-0 Alger
Duuuuuh, noma sanaHawa wapuuzi nilijua sababu mchawi wao nilimdhibiti huku mafia
Duuh, ilikuwaje hadi ikawa hivyo?, pia ilikuwa mwaka gani?wanatumia gharama sana kuna mshikaji walimtoa kafara ikaniuma sana alafu alikuwa anaipenda yanga kinyama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaaahWhat is so special about you!! Hata ungepigwa Ban ya maisha! Una msaada/umuhimu gani humu jamii forums?
Dogo acha kutafuta kick kupitia mgongo wa timu kubwa kabisa Barani Afrika, kama Yanga. Wewe ni mtoto mdogo sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga haijaanza kushinda Leo Kwa taarifa yako Yanga itashinda goli 4+
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba tangu YANGA anaanza haya mashindano ya KIMATAIFA mshazoea kubet kwa ahadi ya kutoa mikundru yenu... Kwahiyo marinda yamewatoka sana kuanzia mtoano, robo, nusu na sasa fainali... Inshort tutawabandua tena nyie makolo na hao waume zenu wa kiarabu...
Matokeo yatakua hivi Fainali
YANGA 2-0 USM
USM 1-1 YANGA
YANGA [emoji169][emoji172] BINGWA [emoji471][emoji966]
Aggregate au??Young africans 3-0 Alger
Mwenyejii ashachapwaaaa kwao.Dar
1-1
Algiers
1-0
Algiers wanasepa na taji hilo namna hiyo