Yanga akitolewa CAFCL atakuwa amepata hasara kwenye usajili

Yanga akitolewa CAFCL atakuwa amepata hasara kwenye usajili

Hahaaaa
FB_IMG_16657484855530623.jpg
 
Atakua bado na nafas ya shirikisho, apambane kwa upande huo.
 
Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.

Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.

Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Aisee kuna yule mwamba mwingine wa kuitwa Adebayor na yy anakula wa vhuya kule Berkane ana kaa bench tu
 
Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.

Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.

Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Sijaona mchezaji bongo wa kulipwa Mil 20
 
Kikosi cha Yanga hakifiki hata $ 1m.
Hasara itoke wapi?
Kuna vikosi kama cha Wydad, kapigwa na Rivers
 
Naiona yanga kwenye makundi ya shirikisho na si champions league
Mtoano wa huko ni mgumu zaidi... yanga alipewa zalan sababu kaizidi zalan, confederation anapewa wale walioshinda raundi ya pili.. anaweza akawa berkane, pyramids, al masry etc... wajitahidi kwa al hilal ndio wepesi ulipo...
 
Mtoano wa huko ni mgumu zaidi... yanga alipewa zalan sababu kaizidi zalan, confederation anapewa wale walioshinda raundi ya pili.. anaweza akawa berkane, pyramids, al masry etc... wajitahidi kwa al hilal ndio wepesi ulipo...
Al-hilal sio wepesi hata kidogo...
 
Al-hilal sio wepesi hata kidogo...
Ni kweli ila hiyo aliyesema anawaona yanga makundi ya confederation, mtoano wa huko kwa yanga ni mgumu zaidi sababu yanga inatambulika kama timu ya chini ukilinganisha na waliobaki confederation hivyo droo ikifanywa, top seed wanapangwa na lower seed... yanga kama watadondokea huko wategemee kukutana na kigogo...
 
Back
Top Bottom