Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Ila huyu mgonjwa wetu wa pale Kidimbwi maji, tumwambie tu ukweli kwamba........ kule Khartoum anakwenda kukata moto! Hakuna sababu ya kumpatia matumaini ya uongo.Sio vizuri kumkatisha tamaa mgonjwa
Akitolewa anakutana na waliotolewa wenzake.Naiona yanga kwenye makundi ya shirikisho na si champions league
Aisee kuna yule mwamba mwingine wa kuitwa Adebayor na yy anakula wa vhuya kule Berkane ana kaa bench tuItakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.
Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.
Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Si ndio wakina de agosto na vipers, atakula nao sahani mojaAkitolewa anakutana na waliotolewa wenzake.
ahirikisho huko ukumbuke kuna pyramid, cape town city, RS berkane, Asec mimos n.lNaiona yanga kwenye makundi ya shirikisho na si champions league
Sijaona mchezaji bongo wa kulipwa Mil 20Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.
Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.
Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Hesabu za vijijini hizo mkuu ndio maana Wakulima tunapigwa sana na Wafanyabiashara..Million 20 kwa miezi 12 inakuwa 300 Mil?
Mtoano wa huko ni mgumu zaidi... yanga alipewa zalan sababu kaizidi zalan, confederation anapewa wale walioshinda raundi ya pili.. anaweza akawa berkane, pyramids, al masry etc... wajitahidi kwa al hilal ndio wepesi ulipo...Naiona yanga kwenye makundi ya shirikisho na si champions league
Nakuona umekaa pale umekalia kitu laini chenye ncha kali...Waarabu wanalala 2-0
Nimekaa pale👉
Naam, hiyo hasara ataifidia huko kwenye shirikisho.Naiona yanga kwenye makundi ya shirikisho na si champions league
Al-hilal sio wepesi hata kidogo...Mtoano wa huko ni mgumu zaidi... yanga alipewa zalan sababu kaizidi zalan, confederation anapewa wale walioshinda raundi ya pili.. anaweza akawa berkane, pyramids, al masry etc... wajitahidi kwa al hilal ndio wepesi ulipo...
Ni kweli ila hiyo aliyesema anawaona yanga makundi ya confederation, mtoano wa huko kwa yanga ni mgumu zaidi sababu yanga inatambulika kama timu ya chini ukilinganisha na waliobaki confederation hivyo droo ikifanywa, top seed wanapangwa na lower seed... yanga kama watadondokea huko wategemee kukutana na kigogo...Al-hilal sio wepesi hata kidogo...
Wanafanya kila mbinu hiyo gemu washinde ila Nigeria fitna nao wanazijua ngoja tuone...Kikosi cha Yanga hakifiki hata $ 1m.
Hasara itoke wapi?
Kuna vikosi kama cha Wydad, kapigwa na Rivers