Yanga akitolewa CAFCL atakuwa amepata hasara kwenye usajili

Yanga akitolewa CAFCL atakuwa amepata hasara kwenye usajili

Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.

Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.

Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Kwenye hiyo hasara, wewe unapoteza shilingi ngapi? Halafu hata itokee wakapoteza huo mchezo, si wanaenda kwenye mtoano tena wa Kombe la Shirikisho?
 
Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.

Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.

Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Sisi yanga hatukusajili kwa ajili ya haya mashindano ya CAF sisi tumesajili kwa ajili ya kumfunga Simba tu ndo lengo letu tukutane tarehe 23
 
Watani watashinda Inshallah zetu dua kama Taifa kwa umoja wetu makundi tutafuzu all together Simba na Yanga
 
Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.

Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.

Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Ikiwezekana hata kugombea ubingwa tuache aisee tusubiri hizo nafasi tunazopewa na simba.
 
Bado watakuwa na nafasi shirikisho, wakaze tu wakifanya vzr shirikisho watawasahaulisha utopolo wenzao.
 
[emoji16]
JamiiForums1155423873.jpg
 
Back
Top Bottom