240 ni around 300 hukohukoMillion 20 kwa miezi 12 inakuwa 300 Mil?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
240 ni around 300 hukohukoMillion 20 kwa miezi 12 inakuwa 300 Mil?
Kwenye hiyo hasara, wewe unapoteza shilingi ngapi? Halafu hata itokee wakapoteza huo mchezo, si wanaenda kwenye mtoano tena wa Kombe la Shirikisho?Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.
Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.
Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Anamaanisha NBC League na si BenkiNBC hawatoi hy 500m, Azam Tv ndio wametoa hy pesa. NBC wametoa 100m
Sawa, bc angetakiwa kusema mshindi anapata 600m.Anamaanisha NBC League na si Benki
Duh! Hizo figures za dunia ipi240 ni around 300 hukohuko
Hahaha Sudan moja iyoo
Sisi yanga hatukusajili kwa ajili ya haya mashindano ya CAF sisi tumesajili kwa ajili ya kumfunga Simba tu ndo lengo letu tukutane tarehe 23Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.
Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.
Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Tatizo mgonjwa ana mdomoSio vizuri kumkatisha tamaa mgonjwa
Tulia hapo hapo,niko na mama yako mzazi chumbani .Nakuona umekaa pale umekalia kitu laini chenye ncha kali...
Ikiwezekana hata kugombea ubingwa tuache aisee tusubiri hizo nafasi tunazopewa na simba.Itakuwa ni aibu na hasara kubwa kwa Klabu ya Yanga kama itashindwa kuingia hata makundi kwa usajil walioufanya. Aziz Ki amesajiliwa kwa hela nyingi na analipwa zaidi ya mil. 20 kwa mwezi.
Huyu peke yake anachukua mshahara wa kama mil. 300 kwa mwaka. NBC Ligi Kuu wanatoa mil. 500, je, hii si hasara? Morrison kawapiga sana Yanga pia, Mayele naye kakiwasha anadai hela kama ya Aziz Ki.
Ndiyo maana ile siku ya mechi ya Yanga na Al Hilal, Hersi alivuta pumzi ya hisia na kuogopa.
Ndio nimeshangaa,hawana hasara.Kwani lengo la yanga si ni kuifunga Simba!
Hasara gani watapata iwapo wanapata usingizi kwa kuikamia Simba ili wajulikane CAF?!!
Inategemea pia, wakimpanga na Pyramid anatobolea wapi kwenda makundi CCCNaiona yanga kwenye makundi ya shirikisho na si champions league
Mbumbumbu katika ubora waoMillion 20 kwa miezi 12 inakuwa 300 Mil?
Play off anaweza kukutana na VIPERS aman MAZEMBEAtakua bado na nafas ya shirikisho, apambane kwa upande huo.