Yanga anakwenda kutwaa kombe ugenini kwa kupindua meza kama alivyofanya Tunisia

Yanga anakwenda kutwaa kombe ugenini kwa kupindua meza kama alivyofanya Tunisia

Hiki ndio kinakwenda kutokea huko ugenini tarehe 03/06/2023. Yanga ushindi ni popote ugenini au nyumbani. Waarabu hawataamini kama ilivyotokea kwa wale Waarabu wa Tunisia.

Goli moja walilopata Yanga ndio itakuwa chachu kwa Yanga na ndio litawapa nguvu ya kupambana tofauti na kama wangefungwa mbili bila.

Pia, ukichunguza kwa makini, utagundua kwa timu zenye uwezo, swala la home and away lina effects ndogo sana hasa katika soka la siku hizi. Timu mbovu ndio huwa zinaathirika sana zinapokuwa ugenini lakini sio vilabu vyenye ubora vinavyoweza kushinda popote na Yanga ikiwemo.

Muda utaaongea.
Usiwe na ndoto za kijinga Kijana, hapa Yanga kishaaga mashindano......kalambwa kwao na alitawaliwa kama mtoto vile asiyejitambua, usitegemee makubwa wakiwa Algeria, utakuja jiua kwa masikitiko na haibu.
 
[emoji23][emoji23]
Kampa, kampa tena, anao anao, afu akafinya akampa pasi ya upendooo.

Kula chumaaa hikoooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Goooooooool furaha ya wananchi haijadumuuu....ndani ya dkk 3 waarabu wamemaliza furaha yaoo...da da da daaa
 
Mimi ni mtanzania mwenye asili ya Algeria, ukisemacho ni uongo mtupu na kutoijua historia ya usm algers, wale si malumo wala rivers, ...kingine yanga sio klabu bora ni ilikupata bahati ya kupangiwa timu za kawaida mnoo ukiachilia tp mazembe ambae nae angekuwa kwenye ubora wake usingeambulia point yoyote kutoka kwao
 
Timu zote ngumu alizocheza nazo Yanga mwaka huu hakuna aliyoifunga hata Moja tofauti na timu zinazoshuka madaraja ktk ligi zao.
Yanga vs vipers 0 , 2
Hilaly vs Yanga 1, 0
Yanga vs simba 0, 2
Yanga vs USM Alger 1 , 2
Hao vibonde wa malumo na club Africain mlizozifunga zisiwe kipimo kwenu Vinginevyo taifa linaenda kuingia kwenye aibu ya karne.
 
Kampa, kampa tena, anao anao, afu akafinya akampa pasi ya upendooo.

Kula chumaaa hikoooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado mtu ana kuambia timu yenye uwezo,, mpaka unajiuliza ni uwezo upi huo
 
Na bado mtu ana kuambia timu yenye uwezo,, mpaka unajiuliza ni uwezo upi huo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili bao la 2 linanimalizia bando sichoki kutazamaaa
 
Aiseee, haya kuku anafikiria kumfuata mwewe
 
Apia kama asipopondua meza upigwe ban ya miezi 6 kama una uhakika na usemayo.
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea huko ugenini tarehe 03/06/2023. Yanga ushindi ni popote ugenini au nyumbani. Waarabu hawataamini kama ilivyotokea kwa wale Waarabu wa Tunisia.

Goli moja walilopata Yanga ndio itakuwa chachu kwa Yanga na ndio litawapa nguvu ya kupambana tofauti na kama wangefungwa mbili bila.

Pia, ukichunguza kwa makini, utagundua kwa timu zenye uwezo, swala la home and away lina effects ndogo sana hasa katika soka la siku hizi. Timu mbovu ndio huwa zinaathirika sana zinapokuwa ugenini lakini sio vilabu vyenye ubora vinavyoweza kushinda popote na Yanga ikiwemo.

Muda utaaongea.
Waarabu hawatumii meza. Wanatumia Mkeka. So we mkia sisi tunaenda kupindua mkeka.
 
Back
Top Bottom