Yanga anaweza kuchukuwa kombe ili la shirikisho

Yanga anaweza kuchukuwa kombe ili la shirikisho

Unafikiri South Afrika tumewazidi mpira?
Hapa Tanzania tuna timu mbili tu Simba na Yanga. Hapo huoni km tupo sawa?
Nimeuliza Kuna timu gani ya sauzi ipo shirikisho mzee,sababu Sina taarifa
 
Kufuzu tu hii hatua hatatafuzu.maana itakuwa hivi

Yanga atatoa sare ama kufungwa na Monastr then Mazembe atampiga Bamako atakuwa na points 6 huku yanga akibaki na points zake 6 ama saba. Halafu ataenda Lubumbashi kwa Mazembe mwenye points 6 na hiyo mechi itakuwa ngumu kwao pale Lubumbashi watapigwa na Mazembe
 
Kama unaangalia the way yanga wanavyo cheza sioni timu ya kuwatoa kama watarekebisha makosa haya ya mipira ya juu kwa wachezaji wao

Yanga hawana mpira wa kupaki eti wajazane wote nyuma kuogopa mashambulizi ya timu pinzani zaidi ya timu pinzani ndo wana mipira ya defancel total kuogopa washambuliaji wa Yanga uku wakitegemea kufanya mashambulizi ya kushtukiza

Fiston mayele ukimuachia walinzi wa tatu nyuma alafu awe katika position ya kukimbia hakika ana kuazibu vizuri na ndicho wanacho ogopa wapinzani

Al hilal, na as monastir walijua ilo mapema ndo maana walicheza mipira ya kujazana nyuma
Amka utakojolea sofa ya shemeji yako..ndoto ya uongo hiyo
 
Back
Top Bottom