Yanga apangwa na Pyramid ya Egypt kwenye CAF Confederation

Ila kuna timu zinabahati bidvest wamepangiwa udisongo!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Hata nyie mikia mlitamba mna kikosi cha Zaidi ya B 1 lakini mwisho wa siku Du Songo wakawaduwaza.

Hivyo wacheni kutukatisha tamaa.
Usikute haujaelewa nilichoandika dah! Mm Ni Yanga dam kabisa
 
Mchezo wa kwanza ni Utafanyika hapa Dar es Salaam tarehe 27 Oktoba na MarudianoTarehe 1 Novemba 2019. Kila la heri Young Africans Sports Club.
Mungu na atupitishe, kwenye Mpira lolote hutokea.....Yanga mbele daima, nyuma mwiko
 
Hahahaa. Kama walivyokuwa wanaipaisha Township Rollers.

Hawa jamaa bana. Ikifika hiyo siku ndio mbivu na mbichi zitajulikana. Waache kupiga mdomo.
Kwasasa tusiwakatishe tamaa mikia fc tuwape nafasi wakae siti za mbele washuhudie kwa macho yao.
 
Kimsingi Yanga ni kama imeshatolewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…