Yanga apangwa na Pyramid ya Egypt kwenye CAF Confederation

Yanga apangwa na Pyramid ya Egypt kwenye CAF Confederation

pyramid.png
 
Lazima Yanga tushindeee.
Daima mbele, kikosi chetu kipo vizuri zaidi.
 
Ee Mungu kwa nn umeruhusu hili litokee?sura zetu tutazificha wapi na hawa mikia
Yajayo yanasikitisha, Pilipili Hoho FC watapigwa nyingi mno, ili kidomodomo kiwe mwisho..Kila la heri Pyramids matajiri wa Misri..[emoji23][emoji23]
 
Yajayo yanasikitisha, Pilipili Hoho FC watapigwa nyingi mno, ili kidomodomo kiwe mwisho..Kila la heri Pyramids matajiri wa Misri..[emoji23][emoji23]
Pyramid timu mbovu waarabu koko hawana uwezo hata wa kutoa sare na Yanga. Yanga hawawezi kufungwa na timu ya daraja la 2
 
Pyramids "The Big Spenders of Egypt" wamejitutumua hadi sasa katika msimu wao wa kwanza ndani ya Mashindano ya Vilabu Barani Afrika.

Kituo kinachofuata ni dhidi ya Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu @YangaSCTanzania
PicsArt_10-09-09.08.40.jpeg
 
Hii team kwenye mkeka haijawai kuninyima mpunga
 
Back
Top Bottom