Yanga apangwa na Pyramid ya Egypt kwenye CAF Confederation

Yanga apangwa na Pyramid ya Egypt kwenye CAF Confederation

Ndio hawa
255712333333_status_230c14d624754428b84bcb8d02ced96e.jpeg
255712333333_status_5bcdbc37e342406a9f75694bee63ee6b.jpeg
 
Tunaomba jeZi zao zifike hapa bongo mapema jamaani, hawa ni ndugu zetuuu kabsa, piramids oyeeeee
 
Kaka yao al ahly tuliwatoa jasho sembuse hvyo vtoto

Sasa huyo Al-Ahly muliyemtoa Jasho kashpigwa na Pyramids FC game 6 mfululizo nje ndani.

Sasa kama Kibonde wa Pyramids FC umeishia kumtoa jasho tu! Je nyinyi Ndala FC si mutachunwa Ngozi kabisa na Pyramid FC [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama tembo aliuliwa na sisimizi itakuwa Yanga kumfunga pyramid?
Mabilioni waliyo sajilia kikosi sisi haya2husu.
 
Sasa huyo Al-Ahly muliyemtoa Jasho kashpigwa na Pyramids FC game 6 mfululizo nje ndani.

Sasa kama Kibonde wa Pyramids FC umeishia kumtoa jasho tu! Je nyinyi Ndala FC si mutachunwa Ngozi kabisa na Pyramid FC [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
sasa ilikuwaje hawajawa mabingwa wa misri hao pyramids? ilikuwaje wakawa kombe la shirikisho, halaf vibonde wao al ahly wakawa klabu bingwa? PYRAMID NI TIMU MBOVU TU KAMA SIMBA
 
Mchezo wa kwanza ni Utafanyika hapa Dar es Salaam tarehe 27 Oktoba na MarudianoTarehe 1 Novemba 2019. Kila la heri Young Africans Sports Club.
 
Hakuna kukata tamaa nitaamini tumetoka After 90mins za kuleee Misri.

Hivyo mpaka sasa nina imani na Timu yangu ya Wananchi.
 
haha naona simba mnalazimisha pyramid ionekane timu kubwa wakati ni katimu kadogo tu , timu kubwa misri ni zamalek na al ahly tu, nyingine mbovu tu
Tarehe 27 ndo tutakaona vizuri katimu ka pyramid kalivyo kadogo
 
Back
Top Bottom