Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
Haitakiwi mkate tamaa,hata sisi hatupendi mkate tamaa ili maumivu kuanzia tarehe 27 yaingie vizuri....mkikata tamaa maumivu hayataingia sawasawaHakuna kukata tamaa nitaamini tumetoka After 90mins za kuleee Misri.
Hivyo mpaka sasa nina imani na Timu yangu ya Wananchim