Yanga ataishangaza dunia

Yanga ataishangaza dunia

Yanga mechi ya marudiano na Club Africain waliroga saaana. Tulipoteza ndugu zetu wengi kwa ushindi ule. Jana wasingeweza kutoboa kwa kile walichofanya.

Kwanza picha lilianza walivyoshindwa kuvaa nguo zao nyeusi maana zingeendana na home kit ya USMA. Body language ya wachezaji ukiangalia toka mwanzo walishajua kutoboa ilikuwa haiwezekani.
 
Pamoja na woga wa kafara la maji(mvua) kuna uwezekano mkubwa wa kumfunga mwarabu kwao na kuondoka na kombe la shirikisho kwa mara ya kwanza katika historia ya soka nchini

Yanga inawakilishwa na rangi ya kijani ambayo kiasili ni rangi inayowakilisha uhai, kiroho rangi ya kijani ni rangi yenye nguvu mno!
Kijani hakiwezi kusitawi bila maji, na maji hutokea kwa namna nyingi na mojawapo ni mvua! Ni maji ya mvua pekee ndio huleta ustawi wa kijani kwa ukubwa na kwa haraka na bila gharama!

Kafara la maji kwa yanga kutoka SIMBA huwa linafanikiwa kwakuwa SIMBA ni rangi nyekundu kiwakilishi cha moto! Kijani kwenye nyekundu hakina nguvu kabisa!
Kama Yanga hawajafanya kafara lolote la kumwaga damu leo gemu ni lao


Mark my words!

Sent using Jamii Forums mobile app
NA KWELI DUNIA IMESHANGAA BAADA YA MIAKA 88 NDIO UNACHEZA FAINAL? NA BADO UNAAMBULIA MEDALI DUNIA IMESTAAJABU SANA
 
Back
Top Bottom