Yanga atapokea kichapo kwenye Derby

Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza.

Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote watanielewa.

WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.
Pombe za Malawi ni hatari kwa afya ya akili
 
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza.

Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote watanielewa.

WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.
Kweli wewe ba vichaa ndo maana huwa unamatumaini hewa hata kwenye siasa
 
WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.

Na hii ndio sababu pekee iliyokufanya uwaone Simba wakishinda mechi ya wapinzani wa Kariakoo, kwa sababu wewe ni mwanasimba...

Infact huwa hakuna mechi nyepesi Yanga na Simba zinapocheza, hata kama timu mojawapo iwe mdebwedo kama Mtibwa...
 
Viongozi wa 5imba ndio mmefikia hatua hii kweli? Takukuru naomba muingie kazini
 

Attachments

  • FB_IMG_17132794346539940.jpg
    121.2 KB · Views: 2
Shida ya Utopolo sijui mkoje tu!Mkishinda nyie mnasema ni MAUWEZO YENU, ila mkifungwa na Simba ni aidha MMEWAACHIA tu au KUNA HUJUMA. Mna Matatizo ya problem kwakweli.

Hiyo mechi ya 1989 kuna mchezaji wa Simba niliwahi kumsikia akiielezea. Anasema waliamua kucheza kwa jasho na damu, walikuwa wamejiapiza kufia uwanjani ili wabaki Ligi Kuu (Daraja la Kwanza enzi zile) na kuwasuta viongozi na mashabiki ambao walikuwa wameshaikatia tamaa timu. Alienda mbali kwa kusema hata uwanjani walienda bila dereva wa timu, bali walijiendesha wenyewe (mchezaji mmoja ilibidi awe dereva kwa muda). Sikia, hii iliwapa uchungu sana moyoni mithili ya mtoto yatima ambaye mwishoe hupambana na kitoboa. Hicho ndo kilichotokea.

Yale maswali yenu ya kitoto kwamba inawezekanaje timu inayoongoza ligi ikafungwa na timu inayotaka kushuka daraja? Hilo linawezekana. Hata kule Ulaya tumekuwa tukiona timu iliyo zilizo kwenye relegation zikibonda timu zilizo juu kwenye msimamo wa ligi. Kuna ajabu hapo?

Shida ya Yanga mwaka 1989 ilikuwa ni kumdharau Simba. Ni kama mwaka 2014 Mrisho Ngasa anapiga chenga hadi kuukalia mpira kwa dharau, Yanga inaenda half time ikiongoza 3 - 0, ila waliporudi uwanjani mambo yakageuka. 1989 ilikuwa kama hivyo.
 
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza.

Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote watanielewa.

WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.
Huko tulikwishatoka yanga haiwezi tena kuwaonea huruma ni kupiga kwenye mshono hadi mjipange zama hizo ziliisha tunautaka ubingwa wa tatu mfululizo.
 
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza.

Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote watanielewa.

WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…