Yanga atapokea kichapo kwenye Derby

Yanga atapokea kichapo kwenye Derby

Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza.

Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote watanielewa.

WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.
Pombe za Malawi ni hatari kwa afya ya akili
 
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza.

Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote watanielewa.

WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.
Kweli wewe ba vichaa ndo maana huwa unamatumaini hewa hata kwenye siasa
 
WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.

Na hii ndio sababu pekee iliyokufanya uwaone Simba wakishinda mechi ya wapinzani wa Kariakoo, kwa sababu wewe ni mwanasimba...

Infact huwa hakuna mechi nyepesi Yanga na Simba zinapocheza, hata kama timu mojawapo iwe mdebwedo kama Mtibwa...
 
Viongozi wa 5imba ndio mmefikia hatua hii kweli? Takukuru naomba muingie kazini
 

Attachments

  • FB_IMG_17132794346539940.jpg
    FB_IMG_17132794346539940.jpg
    121.2 KB · Views: 2
Ile Mechi ya 1989 usiifananishe na Mechi nyingine. Hakuna cha maana kilifanyika na kina Makelele zaidi ya Yanga kutimiza maelekezo ya FAT. Nchi hii Hakuna ushabiki bila Simba na Yanga kuwa kwenye ligi moja. Kuna watu huwa nawasikia wanajifariji eti ili soka likue Simba na Yanga zife Kwanza. Hawajui historia. Yanga alipoteteleka na kuzaliwa Pan African imara Hakuna cha maana kilichotokea, na Simba ilipoteteleka Hadi kukaribia kushuka daraja, Yanga walilazimika kugharimia ubingwa uliobebwa na Coastal Union ili mtani wao asishuke daraja.
Wakati huo Pamba ilikuwa Moto na ilikuwa kama Tawi la Simba. Lakini isinheweza kuchukua nafasi ya Simba.
Shida ya Utopolo sijui mkoje tu!Mkishinda nyie mnasema ni MAUWEZO YENU, ila mkifungwa na Simba ni aidha MMEWAACHIA tu au KUNA HUJUMA. Mna Matatizo ya problem kwakweli.

Hiyo mechi ya 1989 kuna mchezaji wa Simba niliwahi kumsikia akiielezea. Anasema waliamua kucheza kwa jasho na damu, walikuwa wamejiapiza kufia uwanjani ili wabaki Ligi Kuu (Daraja la Kwanza enzi zile) na kuwasuta viongozi na mashabiki ambao walikuwa wameshaikatia tamaa timu. Alienda mbali kwa kusema hata uwanjani walienda bila dereva wa timu, bali walijiendesha wenyewe (mchezaji mmoja ilibidi awe dereva kwa muda). Sikia, hii iliwapa uchungu sana moyoni mithili ya mtoto yatima ambaye mwishoe hupambana na kitoboa. Hicho ndo kilichotokea.

Yale maswali yenu ya kitoto kwamba inawezekanaje timu inayoongoza ligi ikafungwa na timu inayotaka kushuka daraja? Hilo linawezekana. Hata kule Ulaya tumekuwa tukiona timu iliyo zilizo kwenye relegation zikibonda timu zilizo juu kwenye msimamo wa ligi. Kuna ajabu hapo?

Shida ya Yanga mwaka 1989 ilikuwa ni kumdharau Simba. Ni kama mwaka 2014 Mrisho Ngasa anapiga chenga hadi kuukalia mpira kwa dharau, Yanga inaenda half time ikiongoza 3 - 0, ila waliporudi uwanjani mambo yakageuka. 1989 ilikuwa kama hivyo.
 
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza.

Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote watanielewa.

WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.
Huko tulikwishatoka yanga haiwezi tena kuwaonea huruma ni kupiga kwenye mshono hadi mjipange zama hizo ziliisha tunautaka ubingwa wa tatu mfululizo.
 
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza.

Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote watanielewa.

WanaSimba wenzangu wote njooni Uwanjani.
Kabisa
 
Back
Top Bottom