mlambaji asali
Senior Member
- Jan 30, 2023
- 150
- 505
Ukiangalia ubora walionao Yanga basi utakubaliana namimi kuwa leo Hawa Real Bamako watakula goli kuanzia 4 na kuendelea.
Yanga ndio inaenda kuleta furaha kwa watanzania baada ya wale vilaza wa jana kurukaruka na mpira mbovu ambao ni wa kiwango cha timu za ndondo cup.
Yanga tamu[emoji172][emoji172][emoji169][emoji169]
Yanga ndio inaenda kuleta furaha kwa watanzania baada ya wale vilaza wa jana kurukaruka na mpira mbovu ambao ni wa kiwango cha timu za ndondo cup.
Yanga tamu[emoji172][emoji172][emoji169][emoji169]