Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Gorge Mpole bado anakiwasha?Clatous Chama tayari bado hao wanne.View attachment 3030858
ManulaBaada ya alfajiri ya Leo Yanga kumtambulisha mchezaji Bora na mkubwa sana clatus Chama .
Sasa Yanga wamehaidi kumtambulisha mchezaji mkubwa.
Tutabiri, je huyo mchezaji ni nani?
Mayele wa mediama🤸♂️🤸♂️🤸♂️Baada ya alfajiri ya Leo Yanga kumtambulisha mchezaji Bora na mkubwa sana clatus Chama .
Sasa Yanga wamehaidi kumtambulisha mchezaji mkubwa.
Tutabiri, je huyo mchezaji ni nani?
Mpole hajasajiliwa yanga. Acheni kumpigia chapuo bhnClatous Chama tayari bado hao wanne.View attachment 3030858
wamempost mpaka kwenye page yao mkuu?3.Maneno yaliyotumika kuelezea utambulisho wa Chama kwenye ukurasa wa Yanga ni ya kimtego.
Rejected mwingine ukiachana na Chama ni KennedyNgoja tuone nani?
Muda utaongea
Wewe ndo ThomasoMimi ni mtu wamwisho kuamini Yanga imemsajili Chama.Sababu ninazo hizi.
1.Picha ya mkono wa kushoto wa chama akisaini makaratasi ina pete.Nimeangalia picha recently za Chama sikuona hiyo pete.Labda amewe ameanza kuvaa karibun..
Endelea kuwa wa mwisho, inawezekana hata darasani ulikuwa wa mwisho vile vile. Hauna point hata moja, yaani Yanga idanganye ili iweje wakati kutumia tu picha ya Chana hata kama ni edited ni kosa kisheria. Yaani ndio umeumia kuliko watu wote ndio maana bado unaona kama ndotoMimi ni mtu wamwisho kuamini Yanga imemsajili Chama.Sababu ninazo hizi.
1.Picha ya mkono wa kushoto wa chama akisaini makaratasi ina pete.Nimeangalia picha recently za Chama sikuona hiyo pete.Labda amewe ameanza kuvaa karibuni...
Rejected au mmemshindwa? Rejected huwa mnatoa thank you mbona hamkumpa hadi sasa?Rejected mwingine ukiachana na Chama ni Kennedy
Ngoja tusikilizie
Walikuwa wanaishi kwa matumainiRejected au mmemshindwa? Rejected huwa mnatoa thank you mbona hamkumpa hadi sasa?
Rejected wengi mbona wapo on queue na huyo alikuwa miongoni mwao.Rejected au mmemshindwa? Rejected huwa mnatoa thank you mbona hamkumpa hadi sasa?
Mchezaji mwenyewe ni Mimi hapa , muda ni mwalimu mzuriBaada ya alfajiri ya Leo Yanga kumtambulisha mchezaji Bora na mkubwa sana clatus Chama .
Sasa Yanga wamehaidi kumtambulisha mchezaji mkubwa.
Tutabiri, je huyo mchezaji ni nani?