Yanga atatambulishwa nani usiku wa leo?

Yanga atatambulishwa nani usiku wa leo?

Rejected wengi mbona wapo on queue na huyo alikuwa miongoni mwao.

Hivi unadhani mna huo msuli wa kumsajili mchezaji wa Simba ambaye bado anahitajika na Simba?
Ulimsikia msemaji wa Simba aliposema mnampenda na bado mnamuhitaji chama na mnahangaika mazungumzo yanaendelea? Tukuamini wewe au bwana Hemdi mkuu?
 
Mimi ni mtu wamwisho kuamini Yanga imemsajili Chama.Sababu ninazo hizi.

1.Picha ya mkono wa kushoto wa chama akisaini makaratasi ina pete.Nimeangalia picha recently za Chama sikuona hiyo pete.Labda amewe ameanza kuvaa karibuni.
Angalia picha ya Chama ina kivuli shavuni wakati picha ilivyopigwa inaonyesha kabisa haikupaswa kutoa kivuli.Kuna ishara za kuedit picha hapo.

2.Utambulisho wa Chama kwa Yanga.
ni dhahili kuwa Yanga alikua akihangaika kuinasa saini ya Chama kwa miaka mingi sana.Nilitegemea usajili wake kuwa wa kishindo kikubwa sanaa.Sio kwa wepesi hivi hivi.

3.Maneno yaliyotumika kuelezea utambulisho wa Chama kwenye ukurasa wa Yanga ni ya kimtego.
Mwamba wa lusaka karibu Jangwani…
Taarifa nilitegemea kuona miaka aliyosaini Yanga lakini haiko hivyo.

See you.
Amka utakojoa kwenye pant. Usafiri wenyewe wa kugombania amka uwahi kuamka ukageuze na gari
 
Ulimsikia msemaji wa Simba aliposema mnampenda na bado mnamuhitaji chama na mnahangaika mazungumzo yanaendelea? Tukuamini wewe au bwana Hemdi mkuu?
Hata mimi namkubali Chama sio kwasababu kaondoka eti nitaacha kumkubali.

Ni kama alivyokuwa Kagere mpaka leo namkubali.

Ila haiondoi uhalisia kuwa ni rejected.
 
Why akupewa thank you kama saidoo na hao wengineo?
Club ina utaratibu wake.

Legacy ya Chama ndani ya Simba huwezi kuifananisha na Saido.

Maana yake hata kwenye ishu ya kumuacha huwa kuna upekee ambao unakuwepo.
 
Vipi huyu nae ataagwa? Halafu sijaona Thank you kama aliyopewa Bocco.
 
Rejected wengi mbona wapo on queue na huyo alikuwa miongoni mwao.

Hivi unadhani mna huo msuli wa kumsajili mchezaji wa Simba ambaye bado anahitajika na Simba?
Kwahiyo Ajibu aliposajiriwq ilikuwa Zuwena fc, vipi kuhusu Kelvin Yonda?. Punguza ugolo.
 
Mimi ni mtu wamwisho kuamini Yanga imemsajili Chama.Sababu ninazo hizi.

1. Picha ya mkono wa kushoto wa chama akisaini makaratasi ina pete.Nimeangalia picha recently za Chama sikuona hiyo pete.Labda amewe ameanza kuvaa karibuni.

Angalia picha ya Chama ina kivuli shavuni wakati picha ilivyopigwa inaonyesha kabisa haikupaswa kutoa kivuli.Kuna ishara za kuedit picha hapo.

2. Utambulisho wa Chama kwa Yanga
ni dhahili kuwa Yanga alikua akihangaika kuinasa saini ya Chama kwa miaka mingi sana.Nilitegemea usajili wake kuwa wa kishindo kikubwa sanaa.Sio kwa wepesi hivi hivi.

3. Maneno yaliyotumika kuelezea utambulisho wa Chama kwenye ukurasa wa Yanga ni ya kimtego.
Mwamba wa lusaka karibu Jangwani.

Taarifa nilitegemea kuona miaka aliyosaini Yanga lakini haiko hivyo.

See you.
Here ephen_
 
Mimi ni mtu wamwisho kuamini Yanga imemsajili Chama.Sababu ninazo hizi.

1. Picha ya mkono wa kushoto wa chama akisaini makaratasi ina pete.Nimeangalia picha recently za Chama sikuona hiyo pete.Labda amewe ameanza kuvaa karibuni.

Angalia picha ya Chama ina kivuli shavuni wakati picha ilivyopigwa inaonyesha kabisa haikupaswa kutoa kivuli.Kuna ishara za kuedit picha hapo.

2. Utambulisho wa Chama kwa Yanga
ni dhahili kuwa Yanga alikua akihangaika kuinasa saini ya Chama kwa miaka mingi sana.Nilitegemea usajili wake kuwa wa kishindo kikubwa sanaa.Sio kwa wepesi hivi hivi.

3. Maneno yaliyotumika kuelezea utambulisho wa Chama kwenye ukurasa wa Yanga ni ya kimtego.
Mwamba wa lusaka karibu Jangwani.

Taarifa nilitegemea kuona miaka aliyosaini Yanga lakini haiko hivyo.

See you.
Tusubiri msimu uanze kama tutamuona
 
Back
Top Bottom