Ulimsikia msemaji wa Simba aliposema mnampenda na bado mnamuhitaji chama na mnahangaika mazungumzo yanaendelea? Tukuamini wewe au bwana Hemdi mkuu?Rejected wengi mbona wapo on queue na huyo alikuwa miongoni mwao.
Hivi unadhani mna huo msuli wa kumsajili mchezaji wa Simba ambaye bado anahitajika na Simba?
Amka utakojoa kwenye pant. Usafiri wenyewe wa kugombania amka uwahi kuamka ukageuze na gariMimi ni mtu wamwisho kuamini Yanga imemsajili Chama.Sababu ninazo hizi.
1.Picha ya mkono wa kushoto wa chama akisaini makaratasi ina pete.Nimeangalia picha recently za Chama sikuona hiyo pete.Labda amewe ameanza kuvaa karibuni.
Angalia picha ya Chama ina kivuli shavuni wakati picha ilivyopigwa inaonyesha kabisa haikupaswa kutoa kivuli.Kuna ishara za kuedit picha hapo.
2.Utambulisho wa Chama kwa Yanga.
ni dhahili kuwa Yanga alikua akihangaika kuinasa saini ya Chama kwa miaka mingi sana.Nilitegemea usajili wake kuwa wa kishindo kikubwa sanaa.Sio kwa wepesi hivi hivi.
3.Maneno yaliyotumika kuelezea utambulisho wa Chama kwenye ukurasa wa Yanga ni ya kimtego.
Mwamba wa lusaka karibu Jangwani…
Taarifa nilitegemea kuona miaka aliyosaini Yanga lakini haiko hivyo.
See you.
Yeap ni bonge la player kama Club itajenga mahusiano mazuri na MOIPrince Dube 🔥
Hata mimi namkubali Chama sio kwasababu kaondoka eti nitaacha kumkubali.Ulimsikia msemaji wa Simba aliposema mnampenda na bado mnamuhitaji chama na mnahangaika mazungumzo yanaendelea? Tukuamini wewe au bwana Hemdi mkuu?
Kibaya .. .........., Kizuri...........Mchezaji mwenyewe ni Mimi hapa , muda ni mwalimu mzuri
Kibaya Cha jitembeza , kizuri chajiuza ,Kibaya .. .........., Kizuri...........
Kwahiyo chama alikua ahitajiki na simba?Rejected wengi mbona wapo on queue na huyo alikuwa miongoni mwao.
Hivi unadhani mna huo msuli wa kumsajili mchezaji wa Simba ambaye bado anahitajika na Simba?
Kama ilivyokuwa kwa Saido na wengineo ambao tayari washasepa.Kwahiyo chama alikua ahitajiki na simba?
Why akupewa thank you kama saidoo na hao wengineo?Kama ilivyokuwa kwa Saido na wengineo ambao tayari washasepa.
Gongowazi walikuwa tayari kumsajili Chama hata kama angekuwa na mguu mmoja as long as ataitwa Chama basi.
Club ina utaratibu wake.Why akupewa thank you kama saidoo na hao wengineo?
Kwahiyo Ajibu aliposajiriwq ilikuwa Zuwena fc, vipi kuhusu Kelvin Yonda?. Punguza ugolo.Rejected wengi mbona wapo on queue na huyo alikuwa miongoni mwao.
Hivi unadhani mna huo msuli wa kumsajili mchezaji wa Simba ambaye bado anahitajika na Simba?
Here ephen_Mimi ni mtu wamwisho kuamini Yanga imemsajili Chama.Sababu ninazo hizi.
1. Picha ya mkono wa kushoto wa chama akisaini makaratasi ina pete.Nimeangalia picha recently za Chama sikuona hiyo pete.Labda amewe ameanza kuvaa karibuni.
Angalia picha ya Chama ina kivuli shavuni wakati picha ilivyopigwa inaonyesha kabisa haikupaswa kutoa kivuli.Kuna ishara za kuedit picha hapo.
2. Utambulisho wa Chama kwa Yanga
ni dhahili kuwa Yanga alikua akihangaika kuinasa saini ya Chama kwa miaka mingi sana.Nilitegemea usajili wake kuwa wa kishindo kikubwa sanaa.Sio kwa wepesi hivi hivi.
3. Maneno yaliyotumika kuelezea utambulisho wa Chama kwenye ukurasa wa Yanga ni ya kimtego.
Mwamba wa lusaka karibu Jangwani.
Taarifa nilitegemea kuona miaka aliyosaini Yanga lakini haiko hivyo.
See you.
Tusubiri msimu uanze kama tutamuonaMimi ni mtu wamwisho kuamini Yanga imemsajili Chama.Sababu ninazo hizi.
1. Picha ya mkono wa kushoto wa chama akisaini makaratasi ina pete.Nimeangalia picha recently za Chama sikuona hiyo pete.Labda amewe ameanza kuvaa karibuni.
Angalia picha ya Chama ina kivuli shavuni wakati picha ilivyopigwa inaonyesha kabisa haikupaswa kutoa kivuli.Kuna ishara za kuedit picha hapo.
2. Utambulisho wa Chama kwa Yanga
ni dhahili kuwa Yanga alikua akihangaika kuinasa saini ya Chama kwa miaka mingi sana.Nilitegemea usajili wake kuwa wa kishindo kikubwa sanaa.Sio kwa wepesi hivi hivi.
3. Maneno yaliyotumika kuelezea utambulisho wa Chama kwenye ukurasa wa Yanga ni ya kimtego.
Mwamba wa lusaka karibu Jangwani.
Taarifa nilitegemea kuona miaka aliyosaini Yanga lakini haiko hivyo.
See you.
Wacha tuone Siku mbili hiziTusubiri msimu uanze kama tutamuona