4-[emoji56]Yanga kafungwa ngapi?wengine tuko kwenye lockdown
Kwa simba hii ata bacerona anakaaa
kwano msolwa bado ni kiongozi wa yanga mi nilisikia timu kaachiwa Eng hersi saidHivi kweli Yanga shida nini uongozi au kuna jambo lingine manake kama pesa kwasasa ipo shida nini.
Hivi viongozi wanajua shida tunayopata.mashabiki.ebu msolwa na wenzake watupishe kidogo.hivi msolwa atakuja kutuambia nini klabuni na kumuelewa.
Nimeumia sana leo.
Hivi kweli Yanga shida nini uongozi au kuna jambo lingine manake kama pesa kwasasa ipo shida nini.
Hivi viongozi wanajua shida tunayopata.mashabiki.ebu msolwa na wenzake watupishe kidogo.hivi msolwa atakuja kutuambia nini klabuni na kumuelewa.
Nimeumia sana leo.