technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Morrison bado yupo kwao.
Aziz Ki bado yupo kwao.
Feisal tunaambiwa hana professional kutoka kambini sawa
Lakini Hawa Azziz key na Morrison wanajua kesho yanga ana game ngumu na IHEFU ambayo alipoteza game iliyopita wachezaji
Morrison
Aziz
Feisal
Bangala wote hawapo halafu tukikosa matokeo tunaanza kutafuta mchawi.
Bado yanga hatuna professional hatupo serious bado watu wanalipwa pesa kibao za bure morrison analipwa mil 18 kwa mwezi ili akae kwao?
Viongozi acheni utoto Hawa watu waitwe kambini haraka Sana!!
Aziz Ki bado yupo kwao.
Feisal tunaambiwa hana professional kutoka kambini sawa
Lakini Hawa Azziz key na Morrison wanajua kesho yanga ana game ngumu na IHEFU ambayo alipoteza game iliyopita wachezaji
Morrison
Aziz
Feisal
Bangala wote hawapo halafu tukikosa matokeo tunaanza kutafuta mchawi.
Bado yanga hatuna professional hatupo serious bado watu wanalipwa pesa kibao za bure morrison analipwa mil 18 kwa mwezi ili akae kwao?
Viongozi acheni utoto Hawa watu waitwe kambini haraka Sana!!