kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
Ota ndoto ya mchana tu huku uko machoSimba atafungwa mechi tatu. Atashinda mechi na Ndanda, nyingine zote atapigwa.
Kama si akili ya mende pia unahitaji kuwa na akili ya vyura tu kukimbia mvua na kujitupa bwawani kuwa simba atapoteza mechi zote au atashinda mechi moja
Kumbuka kocha wenu keshamuuza makambo