Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikikaa mahabaa ndo hayoYanga ana pointi 83, amebakisha mechi 2. Simba ana pointi 85 amebakisha mechi nne. Simba akifungwa mechi tatu akashinda moja atakuwa na pointi 88. Yanga akishinda mechi zake mbili zilizobaki atakuwa na pointi 89.
Twende kazi.
Hesabu za marehemu hizo unaipigia Simba hesabu za kipoteza? wewe kichaa kabisaUkisikikaa mahabaa ndo hayo
Hesabu za marehemu hizo unaipigia Simba hesabu za kipoteza? wewe kichaa kabisa
Tumebakiza mechi tatu, update thread uje na uhalisia.Yanga ana pointi 83, amebakisha mechi 2. Simba ana pointi 85 amebakisha mechi nne. Simba akifungwa mechi tatu akashinda moja atakuwa na pointi 88. Yanga akishinda mechi zake mbili zilizobaki atakuwa na pointi 89.
Twende kazi.
Sawa, akili ya mende. Lakini unaona utabiri wangu unavyotimia? Nilisema watashinda dhidi ya Ndanda na imekuwa hivyo. Mengine niliyosema yatatokea. Simba atapoteza mechi zote tatu zilizobakia na Yanga atashinda mechi zake mbili zilizobakia.Ota ndoto ya mchana tu huku uko macho
Kama si akili ya mende pia unahitaji kuwa na akili ya vyura tu kukimbia mvua na kujitupa bwawani kuwa simba atapoteza mechi zote au atashinda mechi moja
Kumbuka kocha wenu keshamuuza makambo
Nilisema Simba atashinda mechi na Ndanda, nyingine atapigwa. Tayari ameshinda mechi na Ndanda jana. Zinazofuata ni kipigo tu.Ukiamka nistue na mimi maana bado naota.
Uhalisia uko wazi. Utabiri wa mechi na Ndanda umetimia, bado hizo tatu. Subiri uone.Tumebakiza mechi tatu, update thread uje na uhalisia.
Ukichoka kuota niambie na simba akishinda utafunga data na sijui utatumia freebasics lakini nakwambia habari utazipata labda na wewe dishi liwe limechenga kidogo.Nilisema Simba atashinda mechi na Ndanda, nyingine atapigwa. Tayari ameshinda mechi na Ndanda jana. Zinazofuata ni kipigo tu.
Simba2- 0 Singida
[emoji28]ni mwenye akili ya mende tu ndo ataamini mechi zote nne simba atafungwa
Simba taifa kubwa . club yenye mvuto ao wengine mmmm?ni mwenye akili ya mende tu ndo ataamini mechi zote nne simba atafungwa
Simba rasmi bingwa 2018/2019 una lingine la kusema?Uhalisia uko wazi. Utabiri wa mechi na Ndanda umetimia, bado hizo tatu. Subiri uone.