kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
Ota ndoto ya mchana tu huku uko machoSimba atafungwa mechi tatu. Atashinda mechi na Ndanda, nyingine zote atapigwa.
Kwa hiyo mtoa mada ana akili ya mende!!ni mwenye akili ya mende tu ndo ataamini mechi zote nne simba atafungwa
Kwa hiyo mtoa mada ana akili ya mende!!
Kwani anakufahamu? Mbona unaogopa kauli yako!!Wewe wasema
Kwani anakufahamu? Mbona unaogopa kauli yako!!
Nasikia simba ile mechi iliyoongezwa dk saba wanaporwa point.Yanga ana pointi 83, amebakisha mechi 2. Simba ana pointi 85 amebakisha mechi nne. Simba akifungwa mechi tatu akashinda moja atakuwa na pointi 88. Yanga akishinda mechi zake mbili zilizobaki atakuwa na pointi 89.
Twende kazi.
Sawa mr jesus.Wewe wasema Haha
Alafu yanga anashinda zote, hapa lazima mvua za dar zimeleta mafuriko jangwani na kuondoka na akili za watu!Simba atafungwa mechi tatu. Atashinda mechi na Ndanda, nyingine zote atapigwa.
Mkuu acha kuwapendelea! Mende ana akili ktk hili, hawezi weka mzigo kwa yanga kubeba ndoo!ni mwenye akili ya mende tu ndo ataamini mechi zote nne simba atafungwa
Uwezo wa Yanga kushinda zote kwa sasa haupo sababu Makambo wao hayupo. Basi tuseme Simba akifungwa zote na Yanga nae atafungwa zoteAlafu yanga anashinda zote, hapa lazima mvua za dar zimeleta mafuriko jangwani na kuondoka na akili za watu!
Yanga tembezeni bakuli mapema, msimu ujao msishuke daraja,Yanga ana pointi 83, amebakisha mechi 2. Simba ana pointi 85 amebakisha mechi nne. Simba akifungwa mechi tatu akashinda moja atakuwa na pointi 88. Yanga akishinda mechi zake mbili zilizobaki atakuwa na pointi 89.
Twende kazi.
Yanga ana pointi 83, amebakisha mechi 2. Simba ana pointi 85 amebakisha mechi nne. Simba akifungwa mechi tatu akashinda moja atakuwa na pointi 88. Yanga akishinda mechi zake mbili zilizobaki atakuwa na pointi 89.
Twende kazi.
Wansporwa point halafu wanapewa yanga?Nasikia simba ile mechi iliyoongezwa dk saba wanaporwa point.
HATA NCCR MAGEUZI ITAISHINDA CCM NA SEREKALI YAKE KWENYE UCHAGUZI 2020 HATA KAMA MA DED WATAENDELEA KUWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI... tuendelee na ndoto za Alinacha[emoji23][emoji23]Yanga ana pointi 83, amebakisha mechi 2. Simba ana pointi 85 amebakisha mechi nne. Simba akifungwa mechi tatu akashinda moja atakuwa na pointi 88. Yanga akishinda mechi zake mbili zilizobaki atakuwa na pointi 89.
Twende kazi.
hahahahaMkuu acha kuwapendelea! Mende ana akili ktk hili, hawezi weka mzigo kwa yanga kubeba ndoo!
Yanga kutwaa Ubingwa labda Wachezaji wa Yanga wacheze Uchi kwa maana bila kuvaa JeziYanga ana pointi 83, amebakisha mechi 2. Simba ana pointi 85 amebakisha mechi nne. Simba akifungwa mechi tatu akashinda moja atakuwa na pointi 88. Yanga akishinda mechi zake mbili zilizobaki atakuwa na pointi 89.
Twende kazi.