Yanga bado inavuja mnooo!

Yanga bado inavuja mnooo!

witacha matiku

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
722
Reaction score
237
Umafia waungwana!

Binafsi napata mashaka na wapinzani wa Yanga kama vile Fountain Gate, Dodoma n.k

Timu inacheza huoni kama inataka matokeo na kuna wakati wanajipigia pass fupi fupi karibu na lango Lao ambapo inakuwa rahisi kwa Yanga kuchukuwa mpira na kufunga.

Yanga bado inavuja sana game ya Fountain Gate agains wao was very soft game no pressure from opponent, poor passing & dribbling.

Hii mentality wasiende nayo Champion League hasa game ya MC Alger & Al HILAL though improvement ipo but from the NBC League no aggressive & offensive opponent faced btn the last four games.

Lakini Washindani wa Yanga kukamia game ya Simba ni kufanya Simba kuwa bora na imara zaidi but league yetu inakosa fairness & Taste.
CC
Bodi ya league
 
Umofia waungwana!
Binafsi napata mashaka na wapinzani wa Yanga kama vile Fountain Gate, Dodoma n.k
Timu inacheza huoni kama inataka matokeo na kuna wakati wanajipigia pass fupi fupi karibu na lango Lao ambapo inakuwa rahisi kwa Yanga kuchukuwa mpira na kufunga.
Yanga bado inavuja sana game ya Fountain Gate agains wao was very soft game no pressure from opponent, poor passing & dribbling.

Hii mentality wasiende nayo Champion League hasa game ya MC Alger & Al HILAL though improvement ipo but from the NBC League no aggressive & offensive opponent faced btn the last four games.

Lakini Washindani wa Yanga kukamia game ya Simba ni kufanya Simba kuwa bora na imara zaidi but league yetu inakosa fairness & Taste.
CC
Bodi ya league
Majibu yatatoka mechi ya Yanga vs Simba, wala usijipe tabu
 
Umofia waungwana!
Binafsi napata mashaka na wapinzani wa Yanga kama vile Fountain Gate, Dodoma n.k
Timu inacheza huoni kama inataka matokeo na kuna wakati wanajipigia pass fupi fupi karibu na lango Lao ambapo inakuwa rahisi kwa Yanga kuchukuwa mpira na kufunga.
Yanga bado inavuja sana game ya Fountain Gate agains wao was very soft game no pressure from opponent, poor passing & dribbling.

Hii mentality wasiende nayo Champion League hasa game ya MC Alger & Al HILAL though improvement ipo but from the NBC League no aggressive & offensive opponent faced btn the last four games.

Lakini Washindani wa Yanga kukamia game ya Simba ni kufanya Simba kuwa bora na imara zaidi but league yetu inakosa fairness & Taste.
CC
Bodi ya league
ni muhimu referees wakaacha kubeti mechi ambazo wanachezesha wao.

hii kasumba ya referees kubeti nyumbani kwanza,

kwamba kwenye mechi Fulani anayoenda kuichezesha Lazima kutakua na yellow cards 3 first half au corners 2 first half, waache tabia hiyo mara moja 🐒
 
Ki-uhalisia mpira wa bongo upo midomoni sana( nje ya uwanja), kuliko ndani...
Ukiondoa Yanga , Simba na kidogo Azam. Team nyingine zote hazina wachezaji wanaoleta changamoto uwanjani na hata ikitokea hua mara moja moja..
 
ni muhimu referees wakaacha kubeti mechi ambazo wanachezesha wao.

hii kasumba ya referees kubeti nyumbani kwanza,

kwamba kwenye mechi Fulani anayoenda kuichezesha Lazima kutakua na yellow cards 3 first half au corners 2 first half, waache tabia hiyo mara moja 🐒
Wale wapi?
 
Mlisema timu pekee yenye uwezo wa kushinda goli tano ni Simba. Zimefungwa tano sasa mnaleta ngonjera. Kushinda goli 4 na zaidi mfululizo kweli unasema kila timu ilikuwa dhaifu. Mnatia aibu.
 
Umafia waungwana!

Binafsi napata mashaka na wapinzani wa Yanga kama vile Fountain Gate, Dodoma n.k

Timu inacheza huoni kama inataka matokeo na kuna wakati wanajipigia pass fupi fupi karibu na lango Lao ambapo inakuwa rahisi kwa Yanga kuchukuwa mpira na kufunga.

Yanga bado inavuja sana game ya Fountain Gate agains wao was very soft game no pressure from opponent, poor passing & dribbling.

Hii mentality wasiende nayo Champion League hasa game ya MC Alger & Al HILAL though improvement ipo but from the NBC League no aggressive & offensive opponent faced btn the last four games.

Lakini Washindani wa Yanga kukamia game ya Simba ni kufanya Simba kuwa bora na imara zaidi but league yetu inakosa fairness & Taste.
CC
Bodi ya league
Yanga ilifikaje fainali shirikisho?
 
Umafia waungwana!

Binafsi napata mashaka na wapinzani wa Yanga kama vile Fountain Gate, Dodoma n.k

Timu inacheza huoni kama inataka matokeo na kuna wakati wanajipigia pass fupi fupi karibu na lango Lao ambapo inakuwa rahisi kwa Yanga kuchukuwa mpira na kufunga.

Yanga bado inavuja sana game ya Fountain Gate agains wao was very soft game no pressure from opponent, poor passing & dribbling.

Hii mentality wasiende nayo Champion League hasa game ya MC Alger & Al HILAL though improvement ipo but from the NBC League no aggressive & offensive opponent faced btn the last four games.

Lakini Washindani wa Yanga kukamia game ya Simba ni kufanya Simba kuwa bora na imara zaidi but league yetu inakosa fairness & Taste.
CC
Bodi ya league
Ngoja ifike mechi ya Simba vs Yanga ndio tutajua timu gani inavuja
 
Umafia waungwana!

Binafsi napata mashaka na wapinzani wa Yanga kama vile Fountain Gate, Dodoma n.k

Timu inacheza huoni kama inataka matokeo na kuna wakati wanajipigia pass fupi fupi karibu na lango Lao ambapo inakuwa rahisi kwa Yanga kuchukuwa mpira na kufunga.

Yanga bado inavuja sana game ya Fountain Gate agains wao was very soft game no pressure from opponent, poor passing & dribbling.

Hii mentality wasiende nayo Champion League hasa game ya MC Alger & Al HILAL though improvement ipo but from the NBC League no aggressive & offensive opponent faced btn the last four games.

Lakini Washindani wa Yanga kukamia game ya Simba ni kufanya Simba kuwa bora na imara zaidi but league yetu inakosa fairness & Taste.
CC
Bodi ya league
Mmeanza mambo yenu.
 
Nilitaka ku reply ila niache tu! Maana mleta mada nadhani amechanganyikiwa. Cc we'KUNDU' wa msimbazi
 
Back
Top Bottom