Iyo timu iliyotoka shirikisho ina shiriki kombe gani msimu huu? Nyie mlicheza na vibonde hilo usipinge kufika fainalii sio hoja ya kujifunza kwa yanga hata machizi one time wanapataga akiliMtoa mada upimwe akili sasa yanga ajifunze vp wakati msimu ulipita kafika fainal wew miaka yote robo hadi ukaroga south lakin wapi aujapita wew ndo ujifunze kwa wenzio alafu kaa ukijua shirikisho hakukuwa na timu mbovu ndo maana mume wenu al Ahly alibanduliwa na timu iliyo toka shirikisho
Habari jf ,Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki .
Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi .
Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi .
Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana .
Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo ?
Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba .
Timu zilizoingia makundi CAFCL hakuna tena timu za wakimbizi .Hivyo huo mtelemko mlioupata kucheza na timu ambazo ziko ukimbizini hamtaupata. Na nawahakikishieni kundi mtakalo pangwa mtamaliza mkiwa wa mwisho.Wazee wa robo fainali
Atakayevuka robo ndo kidume hapa bongo
Weee chiziii, bingwa wa shirikisho anashiriki kombe gani msimu huu kama haya mashindano yanafanana uwezo wa timu , kama ana ubora huo angeonesha consistencyPengine umeanza leo kufatilia mpira na kuifatilia Yanga, ngoja nikujuze.
Swala la Yanga kushinda ugenini sio kitu kipya kwasababu viongozi, na baadhi ya wachezaji wameshazoea pressure na atmosphere za ugenini.
Yanga imeshinda michezo mingi ugenini mpaka sasa
Kamfunga Tp Mazembe kwake kabisa
Kamfunga Club Africain kwake
Kamfunga Rivers united kwake
Kamfunga Marumo kwake
Kamfunga bingwa wa CAF super cup (USMA) kwake
Hivyo hata Al Merrikh wangekuwa Sudan, isingebadilisha ubora wa kikosi cha Yanga. Yanga anaingia katika haya mashindano akiwa na spirit kubwa sana juu ya kushinda popote pale jambo ambalo linaweza fanya timu zitakazopangiwa nazo kuchukua tahadhari. Club bingwa na shirikisho ni majina tu ya mashindano ila timu zinashahabiana ubora na viwango na ndio maana sio ajabu bingwa wa CAFCL kufungwa na bingwa wa CAFCC.
Kama kiongozi wako anatambua kuna medali wewe kilaza wa wapi hujui ?Tuoneshe medali basi ya caf baada ya hayo mafanikio yako
Wachezaji wapo tatizo kochaUnaposema usajili mzuri ni upi,? Ule wa mzungu wa reli kipa yule, kuwa serious kidogo, simba timu yetu usajili wake haukua technical, timu haichezi mpira wa kuvutia, wachezaji wengi waliosajiliwa wanaperform chini ya kuwango kilichotarajiwa
ushabiki tu huu....ukweli ninaoujua yanga wanacheza mpira unaoonekana na simba wanacheza mpira wa maneno tuHabari jf ,Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki .
Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi .
Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi .
Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana .
Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo ?
Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba .
Mna miaka 25 hamjavuka hiyo hatua lakini kelele mnazopiga na kama waliozoea kuingia kila mwakaMtoa mada upimwe akili sasa yanga ajifunze vp wakati msimu ulipita kafika fainal wew miaka yote robo hadi ukaroga south lakin wapi aujapita wew ndo ujifunze kwa wenzio alafu kaa ukijua shirikisho hakukuwa na timu mbovu ndo maana mume wenu al Ahly alibanduliwa na timu iliyo toka shirikisho
Kibonde kamgonga al Ahly wew upimwe akili wew kweli umekubali wew ni chizi ngoja nisibishane na wewIyo timu iliyotoka shirikisho ina shiriki kombe gani msimu huu? Nyie mlicheza na vibonde hilo usipinge kufika fainalii sio hoja ya kujifunza kwa yanga hata machizi one time wanapataga akili
Wew una shida kichwaniMna miaka 25 hamjavuka hiyo hatua lakini kelele mnazopiga na kama waliozoea kuingia kila mwaka
Kibonde anapimwa kwa muendelezo wa safari yake, sasa uyo bingwa ayuko kokote kuonesha ubovu wake na ukibonde wake timu zisizo vibonde zina pata makombe na makombe na kufika hatua kubwa each seasonKibonde kamgonga al Ahly wew upimwe akili wew kweli umekubali wew ni chizi ngoja nisibishane na wew
Comments reservedHabari jf,
Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki.
Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi.
Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi.
Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana.
Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo?
Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba.
Kibonde anapimwa kwa muendelezo wa safari yake, sasa uyo bingwa ayuko kokote kuonesha ubovu wake na ukibonde wake timu zisizo vibonde zina pata makombe na makombe na kufika hatua kubwa each season
mchezo wa simba leo ukiuangalia, hakika, hawatafika mbali, wanatakiwa kujipanga sana. waondoe yule kipa pamoja na kosha na wawanoe vizuri wachezaji wao. mchezo wa yanga jana ulikuwa bora na unafurahisha kuangalia, ila leo waliofurahisha kuangalia ni power dynamo. kweli simba ndio imefikia kiwango cha kuwa timu ya kugomboa kweli?Habari jf,
Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki.
Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi.
Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi.
Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana.
Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo?
Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba.
Hakikamchezo wa simba leo ukiuangalia, hakika, hawatafika mbali, wanatakiwa kujipanga sana. waondoe yule kipa pamoja na kosha na wawanoe vizuri wachezaji wao. mchezo wa yanga jana ulikuwa bora na unafurahisha kuangalia, ila leo waliofurahisha kuangalia ni power dynamo. kweli simba ndio imefikia kiwango cha kuwa timu ya kugomboa kweli?
Weee chiziii, bingwa wa shirikisho anashiriki kombe gani msimu huu kama haya mashindano yanafanana uwezo wa timu , kama ana ubora huo angeonesha consistency