Yanga bado wana kitu cha kujifunza kimataifa kutoka kwa Simba, Mnachofanya wana Yanga ni sawa na Newcastle kukebehi Man U kufuzu UCL

Yanga bado wana kitu cha kujifunza kimataifa kutoka kwa Simba, Mnachofanya wana Yanga ni sawa na Newcastle kukebehi Man U kufuzu UCL

Habari jf,

Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki.

Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi.

Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi.

Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana.

Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo?

Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba.
Simba sio mbovu shida tu ni kujilinganisha na yanga
 
Huu sasa ni utani! Yaani Yanga iliyocheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita, ijifunze kwa timu ambayo ni tia maji tia maji!!

Yaani Yanga iliyoshinda mechi zake zote kwenye hatua ya mtoano, ijifunze kwa timu ambayo imeingia hatua ya makundi kwa faida ya goli la ugenini!! Tena kwenye mechi ya mwisho mchezaji wa timu pinzani amejifunga na hivyo kusababisha timu yake kupata sare ya 1-1!!
Itakuwa ni mwenda wazimu wa kiasi cha juu kujifunza kwa simba hii tia maji tia maji
 
Habari jf,

Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki.

Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi.

Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi.

Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana.

Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo?

Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba.
Unafurahisha wewe msimu wa 2021/2022 Simba mlipowanga kule Afrika Kusini, mlifungwa na ASEC MIMOSAS tatu bila. ASEC MIMOSAS hawakuchezea uwanja wao halisi Ivory coast, bali walichezea Niger. Mtatafuta kila sababu ila timu yenu ya Simba Kwa sasa Haina kiwango kizuri. Mjitahidi mpambane Super League msiche kutia aibu Taifa.
 
SELEMANI FC
Aahaaaaaa,linawafaaaa sana
Screenshot_20231001-205341~2.png
 
Unafurahisha wewe msimu wa 2021/2022 Simba mlipowanga kule Afrika Kusini, mlifungwa na ASEC MIMOSAS tatu bila. ASEC MIMOSAS hawakuchezea uwanja wao halisi Ivory coast, bali walichezea Niger. Mtatafuta kila sababu ila timu yenu ya Simba Kwa sasa Haina kiwango kizuri. Mjitahidi mpambane Super League msiche kutia aibu Taifa.
Aahaaaaa,wanahama Kila kichaka
Screenshot_20231001-205341~2.png
 
Nani kibonde hapa
Iyo timu iliyotoka shirikisho ina shiriki kombe gani msimu huu? Nyie mlicheza na vibonde hilo usipinge kufika fainalii sio hoja ya kujifunza kwa yanga hata machizi one time wanapataga akili
IMG_20231001_093708.jpg
 
Habari jf,

Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki.

Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi.

Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi.

Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana.

Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo?

Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba.
Mwakarobo katika ubora wake.
Simba ni mbovu sanaaa.
Full stop
 
Habari jf,

Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki.

Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi.

Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi.

Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana.

Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo?

Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba.
Hongereni sana watani kwa kuvunja mwiko wa miaka 25 na kutinga makundi ya Klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1998. Ni jambo kubwa sana kwa wana Uto wote. Mnastahili pongezi. Japo mmeingia kwa kuwatoa wakimbizi lakini si mbaya.

Sisi tumezoea kuingia makundi kwa miaka mingi. Ni vitu vya kawaida kwetu. Lakini kwenu huu ni muujiza. Kidogo mlikua mnaliwezea lile kombe la "Loser" lakini huku kwenye klabu bingwa mlikuwa mnatepeta mapema sana. Mmekua "sokomoko" kwa miaka 25. Hatimaye leo mmevunja mwiko. Japo sijui ni upi maana mnapenda kusema "mbele mwiko nyuma mwiko" lakini nachojua mwiko mmoja umevunjika leo baada ya miaka 25. Hongereni sana.

Mara ya mwisho kufika makundi klabu bingwa ni 1998 wakati Mayele akiwa na miaka minne, Feitoto alikua mimba, na Whozu alikuwa na mwaka mmoja lakini leo anaitwa Chibaba [emoji1787]. Makundi pekee mliyokua mnaingia mara kwa mara ni ya Whatsapp. Kwahiyo hongereni sana kwa kuvunja mwiko.

Ilikua inatia simanzi sana wakati Simba tukienda group stage, nyie mnarudi kuosha vyombo na Njombe Mji au Itilima FC. Lakini mwaka huu ni furaha kwamba kaka zenu tumepata watu wa kutusindikiza kwenye makundi ya klabu bingwa. Raha mliyoipata leo, sisi tumeipata mfululizo kwa miaka mingi.

Sehemu kubwa ya mashabiki wa Uto, hasa wenye umri chini ya miaka 25 hawajawahi kuishuhudia klabu yao ikicheza makundi klabu bingwa. Na walikua na hatari ya kuzeeka bila kuiona timu yao ikitinga hatua ya makundi. Kwahiyo leo wana haki ya kufurahi, kujibaraguza na hata kuogea maji ya bahari kwa kutoa mkosi.

Mwisho niwashauri vijana mnaotaka kuoa changamkieni mabinti ambao ni mashabiki wa Uto. Kama ameweza kuivumilia timu yake kwa miaka 25, hashindwi kukuvumilia wewe na chumba chako kimoja kwa miaka mitano mpaka utakapojenga kwako. Kuanzia kesho kama unatafuta mke "piga sound" binti yeyote aliyevaa kitop cha kijani na shimizi ya njano. Mtanishukuru baadae [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums1963208479.jpg
FB_IMG_1696167948970.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari jf,

Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki.

Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi.

Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia Makundi CAF sio sahihi kuhoji kiwango kinacho ipeleka Simba makundi.

Lakini pia Yanga kacheza mechi nne kufuzu lakini hakuna mechi waliyocheza uwanja halisi wa ugenini ikiwa ina maana hizo timu kimchezo na kisaikolojia haziko katika nafasi kushindana.

Binafsi nadhani inabidi mjifunze kwanini Simba pamoja na kiwango kisicho kuwa kizuri bado anaendelea kufuzu Makundi na kufika Robo?

Mna kitu cha kujifunza hapa ,Klabu bingwa yanatafutwa matokeo na ndicho wanachofanya Al ahly ,Mamelody ..etc Simba.
Nyie fanyeni kujifariji ila awamu hii kwa kiwango mlichonacho hata robo katu hamfiki.Ukweli mchungu.
 
Hongereni sana watani kwa kuvunja mwiko wa miaka 25 na kutinga makundi ya Klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1998. Ni jambo kubwa sana kwa wana Uto wote. Mnastahili pongezi. Japo mmeingia kwa kuwatoa wakimbizi lakini si mbaya.

Sisi tumezoea kuingia makundi kwa miaka mingi. Ni vitu vya kawaida kwetu. Lakini kwenu huu ni muujiza. Kidogo mlikua mnaliwezea lile kombe la "Loser" lakini huku kwenye klabu bingwa mlikuwa mnatepeta mapema sana. Mmekua "sokomoko" kwa miaka 25. Hatimaye leo mmevunja mwiko. Japo sijui ni upi maana mnapenda kusema "mbele mwiko nyuma mwiko" lakini nachojua mwiko mmoja umevunjika leo baada ya miaka 25. Hongereni sana.

Mara ya mwisho kufika makundi klabu bingwa ni 1998 wakati Mayele akiwa na miaka minne, Feitoto alikua mimba, na Whozu alikuwa na mwaka mmoja lakini leo anaitwa Chibaba [emoji1787]. Makundi pekee mliyokua mnaingia mara kwa mara ni ya Whatsapp. Kwahiyo hongereni sana kwa kuvunja mwiko.

Ilikua inatia simanzi sana wakati Simba tukienda group stage, nyie mnarudi kuosha vyombo na Njombe Mji au Itilima FC. Lakini mwaka huu ni furaha kwamba kaka zenu tumepata watu wa kutusindikiza kwenye makundi ya klabu bingwa. Raha mliyoipata leo, sisi tumeipata mfululizo kwa miaka mingi.

Sehemu kubwa ya mashabiki wa Uto, hasa wenye umri chini ya miaka 25 hawajawahi kuishuhudia klabu yao ikicheza makundi klabu bingwa. Na walikua na hatari ya kuzeeka bila kuiona timu yao ikitinga hatua ya makundi. Kwahiyo leo wana haki ya kufurahi, kujibaraguza na hata kuogea maji ya bahari kwa kutoa mkosi.

Mwisho niwashauri vijana mnaotaka kuoa changamkieni mabinti ambao ni mashabiki wa Uto. Kama ameweza kuivumilia timu yake kwa miaka 25, hashindwi kukuvumilia wewe na chumba chako kimoja kwa miaka mitano mpaka utakapojenga kwako. Kuanzia kesho kama unatafuta mke "piga sound" binti yeyote aliyevaa kitop cha kijani na shimizi ya njano. Mtanishukuru baadae [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2768950View attachment 2768951

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahaahahahahaha.....ila kunamashabiki wakolofi sana..sasa huyo wa kwenye picha ndio anajiona aziz kii....!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom