Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
dawa yenu ni vipers tuuMadunduka hiyo timu ndani ya miezi miwili mmekutana nayo mala 3 lakini bado unasumbuana..kama sio upuuzi ni nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dawa yenu ni vipers tuuMadunduka hiyo timu ndani ya miezi miwili mmekutana nayo mala 3 lakini bado unasumbuana..kama sio upuuzi ni nini.
kubali au kataa kwamba simba ndio chachu ya maendeleo ya timu zingine hap bongo na nje ya Tanzania ...kam haukubaliani na huu ukweli basi una shida sio burePengine umeanza leo kufatilia mpira na kuifatilia Yanga, ngoja nikujuze.
Swala la Yanga kushinda ugenini sio kitu kipya kwasababu viongozi, na baadhi ya wachezaji wameshazoea pressure na atmosphere za ugenini.
Yanga imeshinda michezo mingi ugenini mpaka sasa
Kamfunga Tp Mazembe kwake kabisa
Kamfunga Club Africain kwake
Kamfunga Rivers united kwake
Kamfunga Marumo kwake
Kamfunga bingwa wa CAF super cup (USMA) kwake
Hivyo hata Al Merrikh wangekuwa Sudan, isingebadilisha ubora wa kikosi cha Yanga. Yanga anaingia katika haya mashindano akiwa na spirit kubwa sana juu ya kushinda popote pale jambo ambalo linaweza fanya timu zitakazopangiwa nazo kuchukua tahadhari. Club bingwa na shirikisho ni majina tu ya mashindano ila timu zinashahabiana ubora na viwango na ndio maana sio ajabu bingwa wa CAFCL kufungwa na bingwa wa CAFCC.
lakini tumewakanda game mbili consecutiveUnafurahisha wewe msimu wa 2021/2022 Simba mlipowanga kule Afrika Kusini, mlifungwa na ASEC MIMOSAS tatu bila. ASEC MIMOSAS hawakuchezea uwanja wao halisi Ivory coast, bali walichezea Niger. Mtatafuta kila sababu ila timu yenu ya Simba Kwa sasa Haina kiwango kizuri. Mjitahidi mpambane Super League msiche kutia aibu Taifa.
Hilo mimi sipingani na wewe, ila swala la hoja ya mleta uzi kuwa Yanga imefuzu kwavile timu alizocheza nazo hazina makwao nakataa. Saa zingine tukubali ubora wa mwenzio hata kama roho inakuuma. Wakati misimu ya nyuma Simba yupo kwenye form ilofikia wakati wana Yanga tulikubali mziki wa Simba kwa soka analocheza na mafanikio anayoyapata ngazi ya kimataifa. Kwasasa mpira wa Simba umehamia Yanga, ila Simba wamekuwa wanasonga mbele kutokana na upepo wa bahati na michuano ya CAF ila kiuwezo imeshuka.kubali au kataa kwamba simba ndio chachu ya maendeleo ya timu zingine hap bongo na nje ya Tanzania ...kam haukubaliani na huu ukweli basi una shida sio bure
Hilo mimi sipingani na wewe, ila swala la hoja ya mleta uzi kuwa Yanga imefuzu kwavile timu alizocheza nazo hazina makwao nakataa. Saa zingine tukubali ubora wa mwenzio hata kama roho inakuuma. Wakati misimu ya nyuma Simba yupo kwenye form ilofikia wakati wana Yanga tulikubali mziki wa Simba kwa soka analocheza na mafanikio anayoyapata ngazi ya kimataifa. Kwasasa mpira wa Simba umehamia Yanga, ila Simba wamekuwa wanasonga mbele kutokana na upepo wa bahati na michuano ya CAF ila kiuwezo imeshuka.
hili limechafua maelezo yako mazuri ya mwanzoupepo wa bahati
Nakazia.Timu zilizoingia makundi CAFCL hakuna tena timu za wakimbizi .Hivyo huo mtelemko mlioupata kucheza na timu ambazo ziko ukimbizini hamtaupata. Na nawahakikishieni kundi mtakalo pangwa mtamaliza mkiwa wa mwisho.
Hayajachafua, maelezo yangu yamekaa katika nyakati mbili yaani uliopita na sasa. Uliopita ni Simba iliyokuwa inafuzu ni Simba iliyokuwa bora ila iliyosasa ni Simba inafuzu lakini haina ubora. Kwanzia mechi ya away kule Zambia hadi ya leo ni shabiki yupi wa Simba hanung'uniki juu ya performance ya timu? Hakuna mwana Simba anayeingiwa na wasiwasi juu ya huko waelekeapo? Tirudi msimu mmoja nyuma tenahili limechafua maelezo yako mazuri ya mwanzo
yaani mkuu unapenda kusema neno bahati mpira ni mkakati na mifumo ya kocha na benchi zima ....em angalia msimu uliopita ilikuwaje kwa Al ahly kuvuka kutoka group stage kwenda robo all in all ni kwa sababu ina experience na Ccl the same na simba hivo maana sio maajabu sana kuingia group stage kwa sababu ishavuka hapo mkuu so itakuwa story kubwa endapo simba itaenda nusu fainali kwa ninyi msijilinganishe na sisi bali tafuteni faili la simba toka inapambana kuingia group stageHayajachafua, maelezo yangu yamekaa katika nyakati mbili yaani uliopita na sasa. Uliopita ni Simba iliyokuwa inafuzu ni Simba iliyokuwa bora ila iliyosasa ni Simba inafuzu lakini haina ubora. Kwanzia mechi ya away kule Zambia hadi ya leo ni shabiki yupi wa Simba hanung'uniki juu ya performance ya timu? Hakuna mwana Simba anayeingiwa na wasiwasi juu ya huko waelekeapo? Tirudi msimu mmoja nyuma tena
Simba ilipangwa na timu za kawaida kwenye group stage kama vile Horoya, Vipers ila walipata tabu kufuzu robo fainali na pindi walipokutana na Raja iliyokamilika wakapigwa nje ndani. Sijui kama unakumbukumbu ni lini Simba ilidharirishwa kiasi kama kile tokea wapate mafanikio msimu wa 2019 lakini walisonga mbele kwa bahati.
Huu ni ukweli ambao wana Yanga hawapendi kuusikiakubali au kataa kwamba simba ndio chachu ya maendeleo ya timu zingine hap bongo na nje ya Tanzania ...kam haukubaliani na huu ukweli basi una shida sio bure
We endelea kuwa chachu,wenzio wale tunaendelea kuchanja mbuga,aahaaaakubali au kataa kwamba simba ndio chachu ya maendeleo ya timu zingine hap bongo na nje ya Tanzania ...kam haukubaliani na huu ukweli basi una shida sio bure
Endeleeni kuwa chachu,tuone itawapeleka wapi,aahaaaHuu ni ukweli ambao wana Yanga hawapendi kuusikia
Naiscrenshot hii replyNakazia.
Twende kimataifa,huku hakuna penati za mchongo Wala maamuzi ya kijanja ya refakubali au kataa kwamba simba ndio chachu ya maendeleo ya timu zingine hap bongo na nje ya Tanzania ...kam haukubaliani na huu ukweli basi una shida sio bure
Simba wanamshukuru sana Kondwani Chiboni kwa kuwapatia bao la kusawazisha; walikuwa matatani sana. Hakuna mchezaji wa Simba aliyeipatia timu yake ushindi.Hizo zilipendwa
Tushavuka makundi,hizo stori Baki nazo
Atakayevuka robo kati yetu ndo kidume
Na wamshukuru mno aisee,ahaaaaSimba wanamshukuru sana Kondwani Chiboni kwa kupatia bao la kusawazisha; walikuwa matatani sana. Hakuna mchezaji wa Simba aliyeipatia timu yake ushindi.
Zipi hizolakini tumewakanda game mbili consecutive
Mbona unahasira sana.Timu zilizoingia makundi CAFCL hakuna tena timu za wakimbizi .Hivyo huo mtelemko mlioupata kucheza na timu ambazo ziko ukimbizini hamtaupata. Na nawahakikishieni kundi mtakalo pangwa mtamaliza mkiwa wa mwisho.
Namuona simba akivukaHizo zilipendwa
Tushavuka makundi,hizo stori Baki nazo
Atakayevuka robo kati yetu ndo kidume