Yanga Basi tuna pesa tunawanunua mpaka Simba?

Yanga Basi tuna pesa tunawanunua mpaka Simba?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Kuna watu wanasema unbeaten ya kununua?

Toka mwaka 2019 mechi za simba za ligi tunazinunua ?

Mbona hawajashinda?

Simba kwanini mnapenda Sana propaganda yaani yanga kukwama tu game moja ya kimataifa mwaka huu ndio kelele zote hizi?

Hivi kwa mashabiki wa simba mlivyo na kelele Kama ndio timu yenu ungekuwa imechukua makombe 4 ndani ya mwaka mmoja tungelala kweli?

Yanga bado ni imara Sana na ndio timu Bora Tanzania kwa Sasa takwimu hazidanganyi!!

Nabi tunafukuza na tunamleta mbrazil wa Vipers taabu iko pale pale mtani.

Endeleeni kusindikiza champion ligue mkirudi sisi tunatangaza ubingwa tena wa ligi na FA

Mtakalia yanga anaunua mechi tu kujificha kwenye huo uongo Ila mkirudi tunapiga kwenye mshono tunachukua.

Tutachukua ubingwa huu mpaka 2030 ndio tutapumzika!!

Nyie nao wekezeni nje na mshindanie kombe la makundi kupanga ni kuchagua.
 
Umevimbewa mihogo sasa unaanza kupumua
 
Mechi za simba huwa mnakesha makaburini tu wala hakuna kingine. Kama ni uwezo wa timu , timu za nje zinawashindaje kufunga? Tangu mwaka 2017 timu ya nje mliyofunga ni zalani na yenyewe baada ya kutoa mrungura kipindi cha pili.

Ulishawahi kujiuliza kwanini mihogo fc inafunga magoli yake kipindi cha pili tu?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mechi za simba huwa mnakesha makaburini tu wala hakuna kingine. Kama ni uwezo wa timu , timu za nje zinawashindaje kufunga...
Inaelekea wewe umri wako bado ni mdogo Sana, Yanga ya Zahera iliingiaje makundi ya shirikisho mwaka 2018 kama timu haijaifunga timu yoyote tangu 2017 zaidi ya Zalan?
 
2016 na 2018 zote Young Africans waliingia makundi ya Confederation cup, fatilia mkuu..usijitie aibu za bure jukwaan kiongozi
 
Kuna watu wanasema unbeaten ya kununua?

Toka mwaka 2019 mechi za simba za ligi tunazinunua...
Kuwafunga Simba au kutoa nao sare,haiondoi ukweli kwamba ushindi wenu huwa ni kwa sababu mnatumia pesa aidha kwa waamuzi ama wachezaji wa timu pinzani.

Na kibaya linapokuja suala la Simba,huwa mnaoga maji ya maiti na kukesha makaburini.Hii mechi kwenu ndio kombe la dunia. Mkiifunga Simba huwa hamuhitaji kitu kingine chochote zaidi kwani ndiyo mechi mnayoitumia kuhalalisha uhuni mnaofanya kwenye soka.

Kipimo sahihi cha ubora wa timu ni mechi za kimataifa.Kama mmeshindwa huko,inadhihirisha ukweli tu juu ya michezo mnayofanya hapa ndani
 
Kuwafunga Simba au kutoa nao sare,haiondoi ukweli kwamba ushindi wenu huwa ni kwa sababu mnatumia pesa aidha kwa waamuzi ama wachezaji wa timu pinzan...
Sasa mbona ninyi ndio mnaongoza kwa ulozi.

Timu inaroga hadharani mpaka inapigwa faini na Caf.

Nani mlozi mkubwa hapo?
 
Kweli utopolo inawatoa watu akili. Umeandika pumbu tupu. Nasisitiza pumbu wala sijakosea
 
Mnashinda mechi ya simba kwa sababu ndio mechi pekee mnaykjiandaa msimu mzima kucheza..hao wengine hata mkiamua kutembea mtashinda tu..mtapewa penalty za michongo..tofauti na wenzenu wanaume kwanza timu zikikutana na simba zinaahidiwa milion 15 kushinda na kusare..mlishawahi kutana na prisons iliyoahidiwa hela nyie...
 
Kuna watu wanasema unbeaten ya kununua?

Toka mwaka 2019 mechi za simba za ligi tunazinunua ?

Mbona hawajashinda?

Simba kwanini mnapenda Sana propaganda yaani yanga kukwama tu game moja ya kimataifa mwaka huu ndio kelele zote hizi?

Hivi kwa mashabiki wa simba mlivyo na kelele Kama ndio timu yenu ungekuwa imechukua makombe 4 ndani ya mwaka mmoja tungelala kweli?

Yanga bado ni imara Sana na ndio timu Bora Tanzania kwa Sasa takwimu hazidanganyi!!

Nabi tunafukuza na tunamleta mbrazil wa Vipers taabu iko pale pale mtani.

Endeleeni kusindikiza champion ligue mkirudi sisi tunatangaza ubingwa tena wa ligi na FA

Mtakalia yanga anaunua mechi tu kujificha kwenye huo uongo Ila mkirudi tunapiga kwenye mshono tunachukua.

Tutachukua ubingwa huu mpaka 2030 ndio tutapumzika!!

Nyie nao wekezeni nje na mshindanie kombe la makundi kupanga ni kuchagua.
mo huwa anapokea hongo ya gsm
 
Kuna watu wanasema unbeaten ya kununua?

Toka mwaka 2019 mechi za simba za ligi tunazinunua ?

Mbona hawajashinda?

Simba kwanini mnapenda Sana propaganda yaani yanga kukwama tu game moja ya kimataifa mwaka huu ndio kelele zote hizi?

Hivi kwa mashabiki wa simba mlivyo na kelele Kama ndio timu yenu ungekuwa imechukua makombe 4 ndani ya mwaka mmoja tungelala kweli?

Yanga bado ni imara Sana na ndio timu Bora Tanzania kwa Sasa takwimu hazidanganyi!!

Nabi tunafukuza na tunamleta mbrazil wa Vipers taabu iko pale pale mtani.

Endeleeni kusindikiza champion ligue mkirudi sisi tunatangaza ubingwa tena wa ligi na FA

Mtakalia yanga anaunua mechi tu kujificha kwenye huo uongo Ila mkirudi tunapiga kwenye mshono tunachukua.

Tutachukua ubingwa huu mpaka 2030 ndio tutapumzika!!

Nyie nao wekezeni nje na mshindanie kombe la makundi kupanga ni kuchagua.
Hebu sasa wewe tuambie Yanga alimfunga lini Simba kwenye Ligi kuu?
 
Back
Top Bottom