Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
mtani hivyo ni vijembe tu lakini Azam hakuachi leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtani hivyo ni vijembe tu lakini Azam hakuachi leo
hapo ni kukamilisha ratiba tu, kombe lishaenda jangwani hilo
fareed atachezaje wakat ni mchezaj wa tenerifeLeo Fareed Musa atabeba kombe lake la mwisho akiwa na Azam FC.
Tutamuaga kwa heshima zote.
Come on Azam.Let's do this
yaani kwakuwa mlikuwa mnahonga ninyi basi mnafikiri kila mtu anahongaWazee wa mbereko mshacheza na refa
yaani kwakuwa mlikuwa mnahonga ninyi basi mnafikiri kila mtu anahonga
mtani kwa yanga hii ya sasa hapo ni kipigo tu maana mpira unadunda kweli lakini sio kwenye maji, tehMtani naona umekuja na matokeo yako mfukoni kabla kandango alijapigwa
Haisaidii kuiokoa Azam.Chura wote leo wapo azam[emoji23]
Hehehe eti kipigo kizito.Salama Mkuu.. Hongera kwa Ubingwa wa VPL na kwa kufuzu hatua ya Makundi katika kombe la waliofeli katika CAF Champions League... Ila pole kwa kipigo kizito mtakachopata leo toka kwa Vijana wetu wa Azam FC.
Hajasaini bado.fareed atachezaje wakat ni mchezaj wa tenerife
Ngoja wajiongeze maumivu tenaHaisaidii kuiokoa Azam.
Mnapigwa leoLeo ndoo yetu tena hii, ni bora Azam wasiende uwanjani leo.
Breaking news:YANGA YASHUSHA MASHINE MBILI MPYA ZA KIMATAIFA.
Janvier Basela Bokungu:ambaye ana uwezo wa kucheza beki wa kulia, beki wa kati na Kiungo mkabaji.
Mussa Ndusha :anamudu kucheza winga zote mbili, kiungo wa juu na pia ana uwezo mkubwa wa kucheza kama mshambuliaji wa mwisho.
Bado ndio dakika ya 4Matokeo?
Ndio kwanza kabumbu limeanza.Matokeo?