YANGA Bingwa: Fainali ya kombe la Shirikisho Tanzania, 25.05.2016

YANGA Bingwa: Fainali ya kombe la Shirikisho Tanzania, 25.05.2016

Leo ndoo yetu tena hii, ni bora Azam wasiende uwanjani leo.
Breaking news:YANGA YASHUSHA MASHINE MBILI MPYA ZA KIMATAIFA.
Janvier Basela Bokungu:ambaye ana uwezo wa kucheza beki wa kulia, beki wa kati na Kiungo mkabaji.
Mussa Ndusha :anamudu kucheza winga zote mbili, kiungo wa juu na pia ana uwezo mkubwa wa kucheza kama mshambuliaji wa mwisho.
Sipendi ushabiki wa aina hii...unasifia mchezaji ukiombwa cv yake unabaki kugwaya...hii stahili ndo iliyomfanya sembo akakimbia takriban miezi mitatu...uletaji wa watalii sijui utaisha lini
 
Azam dhidi ya Yanga leo
1.Aishi Manula-28
2.Erasto Nyoni-6
3.Gadiel Michael-2
4.Agrey Morris-13
5.Abdallah Kheri-25
6.Jean Mugiraneza-16
7.Himid Mao-23
8.Mudathir Yahya-20
9.John Bocco-19(c)
10.Ramadhan Singn-14
11.Farid Mussa-17
Sub
1.Mwadini Ali-1
2.Said Morad-15
3.Frank Domayo-18
4.Bolou Wilfred -29
5.Didier Kavumbagu-11
6.Ame Ali-24
7.Shaaban Idd-43
Huwa naumia sana nikimuona Frank Domayo 'Chumvi' benchi...

Domayo wa Yanga sio huyu wa Azam...So sad
 
Tatizo la yanga mara zote wanapocheza na azam wanaanza vizuri lakini wakishapata goli wanaanza kujihami kujiangusha na kupoteza muda mpaka goli linarudi ndio wanahaha kutafuta lingine wakati muda umeisha na kutengeneza droo ya kizembe.

Mara zote tunapotoka sare na Azam uwa wanachomoa wao tena kizembe sana.
 
yanga tukibeba kombe hili basi moja kwa moja aveva ajiandae kusepa maana mashabiki wa simba wataandamana kesho
 
Huwa naumia sana nikimuona Frank Domayo 'Chumvi' benchi...

Domayo wa Yanga sio huyu wa Azam...So sad
Huyu kijana huko alienda kupoteza kipaji chake. Hivi hata taifa stars kaitwa??
 
Back
Top Bottom