YANGA Bingwa: Fainali ya kombe la Shirikisho Tanzania, 25.05.2016

Salama Mkuu.. Hongera kwa Ubingwa wa VPL na kwa kufuzu hatua ya Makundi katika kombe la waliofeli katika CAF Champions League... Ila pole kwa kipigo kizito mtakachopata leo toka kwa Vijana wetu wa Azam FC.
Hehehe eti kipigo kizito.
 
Mnapigwa leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…