Yanga chazeni na Simba siku ya wananchi tutawapangia kikosi rafiki

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Ombi langu kwenu wananchi tukaribisheni siku ya mwananchi Kama kweli mna nia ya kupima team yenu kwa usajili mlio fanya.

Tutawapangia kikosi rafiki Kama hiki.

1. Salim

2. kameta

3 Gadiel Michael

4. Ame

5. Kenedy

6. Mzamiru

7. Dilunga

8. Fraga

9. Ilamfya

10 Ndemla

11. Miraji Athuman

Team hii naamini mtaiweza hii siku ya wananchi itakuwa shangwe kubwa la kulipa kisasi Cha 4G.
 
Mkuu tuonee huruma sasa hicho kikosi si kitatufunga 3 sisi Yanga daah.
 
Yanga chazeni na Simba siku ya wananchi tutawapangia kikosi rafiki.


Once Mbumbumbu...
 
Kwani Simba walichukua point ngapi kwa Yanga mwaka huu? Simba si waliambulia point moja, Yanga akachukua 4? Au nimekosea? Kama Yanga alichukuacpoint 4 na Simba 1 tu, sasa mtoa post anatumia kiungo gani kufikiri?
 
Kwani Simba walichukua point ngapi kwa Yanga mwaka huu? Simba si waliambulia point moja, Yanga akachukua 4? Au nimekosea? Kama Yanga alichukuacpoint 4 na Simba 1 tu, sasa mtoa post anatumia kiungo gani kufikiri?

Tuna washabiki mbuzi wala hawakumbuki hii. Hata mwaka jana kelele zilikuwa hivi hivi yaliyotokea hawataki hata kusikia. Mbwembwe zile zile za mwaka jana point za Ligi Kuu waliambulia point 1.
 
Tuna washabiki mbuzi wala hawakumbuki hii. Hata mwaka jana kelele zilikuwa hivi hivi yaliyotokea hawataki hata kusikia. Mbwembwe zile zile za mwaka jana point za Ligi Kuu waliambulia point 1.
Mwana utopolo ni hivi angalia head to head msimu uliopita kati ya utopolo na Simba. Mechi zilikuwa tatu utopolo win 1 (1-0) draw 1(2-2) lost 1 (4-1).Kwa hiyo kama huna akili za kinyani utaona yupi alikuwa bora maana kutolewa FA ni zaidi ya kupoteza points 4.
 
Kwani Simba walichukua point ngapi kwa Yanga mwaka huu? Simba si waliambulia point moja, Yanga akachukua 4? Au nimekosea? Kama Yanga alichukuacpoint 4 na Simba 1 tu, sasa mtoa post anatumia kiungo gani kufikiri?
Sijui unafikiria kwa kutumia nini ndugu? Hiyo mechi ya FA yanga aliyo lost dhidi ya simba ni zaidi ya kupoteza points 4.
Head to head ,mechi 3 yanga win 1 (1-0) draw 1 (2-2) lost 1 (4-1). Kwa matokeo hayo yupi alikuwa bora?
 
Yaani guruguja fc ni wasanii sana,mmeenda burundi mkajisevia kibonde ili mkionee..kwani hamkuona yule bingwa wa burundi hadi muende kuchukua timu iliyomaliza nafasi ya kumi,yaani kibongobongo ni kama mlicheza na singida utd,sasa bora hata azam waliocheza na namungošŸ˜€...hahaaaa tumejua janja yenu
 
Usitupangie,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…