Yanga chazeni na Simba siku ya wananchi tutawapangia kikosi rafiki

Yanga chazeni na Simba siku ya wananchi tutawapangia kikosi rafiki

Yaani guruguja fc ni wasanii sana,mmeenda burundi mkajisevia kibonde ili mkionee..kwani hamkuona yule bingwa wa burundi hadi muende kuchukua timu iliyomaliza nafasi ya kumi,yaani kibongobongo ni kama mlicheza na singida utd,sasa bora hata azam waliocheza na namungo[emoji3]...hahaaaa tumejua janja yenu
Kitambo sana hili neno guruguja...hatari
 
Back
Top Bottom