kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kwangu mimi hakukuwa na namna nyingine ya kumzuia mfungaji wa goli lilitosababisha Kaze afukuzwe kazi zaidi ya kusababisha penaliti.
Buswita ni mrefu na alitumia urefu wake kufungu, full stop!!. Matokeo kwenye round ya pili ni hayahaya tu kwa timu zote hasa baada ya timu kufanya makosa ya kuwaacha wachezaji wazuri kilevi kwenye usajili wa dirisha dogo.
Timu zote zimesajili wachezaji wazuri walioachwa kizembe na mabenchi ya ufundi. Wachezaji hawa walioachwa ndio wanaoziangamizi timu zao walizokuwa wakizichezea kwa kucheza kwa nguvu zao zote ili kuzifanya timu zijutie makosa yao ya kuwaacha.
Buswita ni mrefu na alitumia urefu wake kufungu, full stop!!. Matokeo kwenye round ya pili ni hayahaya tu kwa timu zote hasa baada ya timu kufanya makosa ya kuwaacha wachezaji wazuri kilevi kwenye usajili wa dirisha dogo.
Timu zote zimesajili wachezaji wazuri walioachwa kizembe na mabenchi ya ufundi. Wachezaji hawa walioachwa ndio wanaoziangamizi timu zao walizokuwa wakizichezea kwa kucheza kwa nguvu zao zote ili kuzifanya timu zijutie makosa yao ya kuwaacha.