Yanga dirisha dogo wafanye marekebisho maeneo haya

Yanga dirisha dogo wafanye marekebisho maeneo haya

Morison.

Bigirimana.

Tuisila kisinda.

Kambole.

Makambo.

Moroko.

Romalisa.

Hii ni MIZIGO.
Siasa Mbaya sana
 
Tunatakiwa tuwe na winga kama Kipre jr au Dario

Yaani tunahitaji inverted winger, Sio winger anayecheza kwenye kibendera kama kisinda.

Hivi mkuu unaona huyo dario ni winga sanaaaa????dah nyie watu mpira mnaujue kweli??yule ni mwehu tuu kazi kupiga piga vichenga ila hakuna lolote winga wenu yule nkane na farid na bm3 wanatosha sana sema mkajaa upepo sjui kisinda arudi,haya karudi anakimbia kimbia tu kama bolt
 
Hao wachezaji kumbuka hawqtoweza kushiriki michuano ya CAF msimu huu mpaka msimu ujao

Halafu kwa maslahi mapana ya Yanga, kama uongozi upo serious basi watafute striker mwingine.

Kwa kiwango alichokionesha saizi Mayele kwenye mechi nne za mwisho hana uwiano mzuri wa kukuhakikishia anafunga.

Sisemi kama hafai na kwamba anapaswa kutolewa, ila yuko katika kipindi ambacho hana form work nzuri so ni bora kwenye ile nafasi ya Makambo akatafutwa Striker mwingine

Na sometimes hata hiyo inaweza kutoa faida kwa pande zote mbili, kuanzia kwa mchezaji hadi kwa club.

Nikiwa na maana kwamba mchezaji akiona namba yake kuna mchezaji mwingine anayecheza vizuri basi lazima atakuwa anajituma kwa nguvu zake zote ili aendelee kupata nafasi
Nadhani majibu umepata toka kwa Matele
 
Na isitoshe wewe ni mwanamke unaanzaje kushauri wakati kama huu ambao upo period?
Kuna tofauti Kati ya CCM na YANGA!

WEWE UTAKUWA MWANACHAMA WA CCM!!

Hakunaga shabiki wa YANGA anayeongea lugha za namna hiyo!!
 
Back
Top Bottom